Dada Joyce inawezekanaje le super woman, iron lady unayesema upo sawa na mwanaume Leo ukapange foleni?

Dada Joyce inawezekanaje le super woman, iron lady unayesema upo sawa na mwanaume Leo ukapange foleni?

Akina mama tatizo lenu hampendani wenyewe kwa wenyewe, ukisikiliza na kutazama baadhi ya mafundisho ya huyu mama utagundua kabisa hawapendi wanawake wenzie hasa wanaoishi vema kwenye ndoa/ mahusiano yao ndio maana anawambia eti muwe mnawachuna waume zenu
 
HUYU alishachanganyikiwa zamani..anatoa ushauri while mwenyewe anahitaji tiba ya ugonjwa wa akili
 
Kuna watu ni wakuhurumia tu. Mnaweza kuwa mnamlaumu mwenzenu kumbe anahitaji msaada mkubwa zaidi wa kisaikolojia kama sio matibabu ya akili.

Maisha yanachangamoto nyingi sana, zote zinaweza kupelekea kumtoa mtu kabisa kwenye mstari na watu bila kujua tukabaki kulaumu tu.

Wengine wanahitaji maombi zaidi.
Umeongea vema,nje ya jicho la kawaida.
 
Nilidhani ile picha ni edited picture,kumbe ni kweli?
Wonders shall never cease
 
Huyu mwanamke kumfuatilia inataka moyo wa chuma....

Kichaa huyoo...
 
Back
Top Bottom