Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Magufuli alikiwa kiongozi hovyo kuliko wote.Dada wapambr wanamjaza upepo. Simba wa Yuda alikuwa kiongozi sahihi kwa wakati sahihi na alipenda Nchi yake na watu wake na kuitetea kwa nguvu zake zote. Nilimsikia Dada akisema anampango wa kuingiza TPA ubia na watu. Aache JPM aiongeze kina kisha aiuze? 2025 ndipo CCM watajua hatutaki matani.
Niambie nani alimuuua?,watu woote waovu hawawezi kumpenda anae washughurikia,jpm ana haki ya kuchukiwa na waharifu,kwani alikuwa hataki ujinga,Hakuwa mtu sahihi alikuwa muuaji na katili sana mwizi wa ubabe huku akiwahadaa wajinga wajinga kwamba yey ni kiongozi wa wanyonge alikuwa muongo ndio maana anapendwa na wasio ma elimu
Mtu yoyte alievaa miwani ya chuki,ni ngumu sana kuuona ukweli,lkn si hoja,hata nabii issa mwana wa mariam na mtume mohamed,walikuwa na maadui pamoja na dhamira zao njema kwa wanadamu,Mazuri gani aliyofanya?
Sawa mramba asali,Sema humtaki wewe mimi na familia yangu tunamtaka mama samia hata miaka 20 mbele
Kwenye nyuzi kama hizi ndy ninapopata nafasi ya kuwagunduwa wenye vyeti feki,,mafisadi na wafanyakazi hewa wakati wa mwendazake.Magufuli alikiwa kiongozi hovyo kuliko wote.
Siyo hatumtaki sema simtaki. Mungu sio wa kuchezewa aliamua kumpa shetani uhuru nakumuacha amtwae jamaa kuzimu faster kabla ya siku zake ili mama awe Rais. Licha ya hali ya uchumi duniani na inflation ila tunaishi kwa amani na utu. Mama chaguo la Mungu ili amwandalie Rais lissu na wazir mkuu Mbowe FAM 2025.anataka aendelee kuongoza kwa kipo hasa alichotufanyia cha maana, jibu ni moja
hatumtaki
Toa upuuzi tunataka katiba mpyaKaanza mapema mno na hakika anaogopa upepo unaomtikisa!,Tena zaidi anaogopa upepo wakaka yake maana inaonekana upepo wa kaka ni mkali zaidi unampa shida,madira yake yanapeperuka huku na kule!.
Hakika dada hawezi kuvaa viatu vya kaka vimemshinda ndio maana ameanza kuviponda!.. niwaambieni yule mzazi wa kijani aliemzaa dada na kaka sasahivi ameharibikiwa kwani hawana sera tena zaidi ya kupondana wenyewe!,Moto unawaka tena moto wakijani.
Dada unamlaumu kaka kwani hujui sahivi hayupo..? Wakati akiwepo wewe si ulikuwa msaidizi wake..! Jua Kila anguko lake ni lako pia!,picha yake ilikuwa kubwa nawe tengeneza yakwako pasipo kukanyaga picha ya kaka! Adui zako sio waliokufa bali waliohai!.
Umefanya upatanisho na adui zako kwa kuingia mtegoni sasa umekosa adui umeanza kugusa visivyojitetea!. Sasa ni hivi kama alivyopita nawe utapita ila fahamu haya,hata Kama leo Kaka atasemwa vibaya ila hataacha kukumbukwa kwani toka katika ukuaji wake kazi zake nzuri zinafahamika. Asingeweza kukaa miaka kumi na bwana yule kama asingefanya vyema!. Ukweli huonekana dhahiri dada.
Ulipo ndipo kipimo kilipo sasa ni muda wa kufanya kazi na sio masimango,uzuri wa mtu hauji kwa kumponda mwengine tena ambae hawezi kusema!. wanaokupigia makofi hivi sasa wanakudanganya maana usitegemee uliozaliwanao wakakusaliti wakati wanajua umeshika sufuria la pilau na wanataka wazijaze sahani zao!. Tena wanataka ulegeze mikono ili wazijaze vizuri! Kaka yako alikaza mikono kwani alijua tabia za ndugu zake!.
Sisi unaotuona jamaa wa koo nyengine ndio tunaolima na kujaza wali hilo sufuria!,piganeni,gombanieni lakini msijisahau tunawaona na wewe ndio tunakuona vizuri zaidi.
Nikukumbushe ule muda bado haujafika,kazi ya mikono yako itakuja kuhesabika kushinda kazi ya mdomo.
Kwani uwongo. Eti wewe kwako urais ni kufokafoka kuua watu hovyo hovyo kulamba matrilion hazina.Kwenye nyuzi kama hizi ndy ninapopata nafasi ya kuwagunduwa wenye vyeti feki,,mafisadi na wafanyakazi hewa wakati wa mwendazake.
Dada ni mkaidi.Nakupongeza mleta bandiko,umeandika kinidhamu sana na umeeleweka na naamini kwa vile dada huwa anapitapita mitaa hii basi na asome kisha alichukue hili
Ndiyo Anamkumbuka Kama Alivyosema Mwenyewe
Najua Mtanikumbuka Siyo Kwa Mabaya Lakini Mazuri
Ataki kifikili na kufanya kazi yeye anawaza kutafuta wabia kuendesha nchi...maneno kuntuDada wapambr wanamjaza upepo. Simba wa Yuda alikuwa kiongozi sahihi kwa wakati sahihi na alipenda Nchi yake na watu wake na kuitetea kwa nguvu zake zote.
Nilimsikia Dada akisema anampango wa kuingiza TPA ubia na watu. Aache JPM aiongeze kina kisha aiuze? 2025 ndipo CCM watajua hatutaki matani.
CCM itaenda kushindwa uchaguzi mwaka 2025..hawatokaa waamini macho yao. Hapo ndo watapata picha halisi huku mtaani watu wamewachoka kiasi gani
Sijasema hawatotangazwa washindi... watapata kura chache kuliko zote waliziwahi kupata. Ujumbe wataupata kuwa watu hawawatakiKwa tume ipi ya uchaguzi?