Dada kaanza kampeni mapema mno!

Sio kila msaidizi anaishi kwa furaha na anayemsaidia. Msaidizi ni mfungwa wa utiifu na wakati mwingone hutamani siku ziende kasi aondokane na hicho kifungo.
Inaonesha dada hakuwahi kuwa furahani akiwa na kaka . Alifunika tu kombe...
Sasa kwa vile kaka hayupo ni muda kupumua kidogo na ku rewind memory card na kutikisa kichwa kwa mguno mhhh.
Dada ana moyo mzuri kwa mwonekano . Dada hawezi kuwa kama kaka akasalimia bila kubonyea kidogo.
Dada anataka vya kwake mwenye sio vya kaka na 2025 ndio muda wake.
La kwetu ni kupima kama kweli anaweza au hawezi kwa vigezo vinavyokubalika.
Ila ka kutoweza au kuweza kwa dada kunaanzia kwetu mjue. Akiweza tumeweza sisi akishindwa tumeshindwa sisi. Tupige kazi na kazi iendelee .
 
Kwani uwongo. Eti wewe kwako urais ni kufokafoka kuua watu hovyo hovyo kulamba matrilion hazina.

Yani jamaa kuruka ruka hovyohovyo hapa na Pale kama swala eti kwenu bonge la rais
Kama ni kwl Magufuli alikuwa akiua watu,
Mbona Magufuli hayupo tena na kuna watu bado wanaendelea kuuwawa na kupotea?

Kwa Mambo yanayoendelea sasa hapa inchini,

Kuendelea kutetea uozo ni Sawa na kujivua nguo mbele ya binti zako.
 
Lengo la kumfanya Ridhiwani Naibu waziri ni nini?

Kama sio kumuandaa kuwa Rais kama ilivyokua kwa karume na mwinyi?

Hivi ni lini hizi familia zitatupumzisha tukapata maendeleo kama taifa na sio kujali maslahi yao tu.
 
Wasukuma na MaCHADEMA jueni kwamba 2022-2030 Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan. Mwanamke Mama na Kiongozi mwenye maono kuliko yeyote nchi hii.
Hutaki lalia moto. Bumbaaafu
 
Lengo la kumfanya Ridhiwani Naibu waziri ni nini?

Kama sio kumuandaa kuwa Rais kama ilivyokua kwa karume na mwinyi?

Hivi ni lini hizi familia zitatupumzisha tukapata maendeleo kama taifa na sio kujali maslahi yao tu.
tutaomba mabeyo atuongoze kuliko huyo aliekamatwa china na madawa
 
kule idodomya wagogo wanalonga eti hapakaliki mzimu unamsumbua πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Kaka alikufa siku nyingi, lakini hwaaishi kumsema na kumsengenya! Ni wakati wao wafanye kazi, tutakuja kuona.. mzee mmoja aliwahi kuniambia ukiona mbuzi yupo mtini ujue kapandishwa.
 
Dada ana wakati mgumu ni dhahiri chama limemuelemea na ameomba msaidizi kunbe ndio kaingizwa chaka zaidi.
Anaumizwa kwa kufuata nyayo za timu kutoka msioga
 
Hakuwa mtu sahihi alikuwa muuaji na katili sana mwizi wa ubabe huku akiwahadaa wajinga wajinga kwamba yey ni kiongozi wa wanyonge alikuwa muongo ndio maana anapendwa na wasio ma elimu
Kumbe wewe hapo una elimu?!! Tatizo lako hujaelimika kabisa kuna uwezekano ulihudhuria darasani tu lakini hukuelimika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…