sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Kuna Wadada wanapenda kuumizwa wenyewe, staff member center mpya ya kazi, dada haamini kuwa niko taken, amelazimisha aje ninapoishi.
(mke bado hajaja) nimemzuga ila mwishowe nimeona nimwambie ukweli kua hata akijichanganya tukasex akapata mimba chance ya kuwa na mimi ni 0, at best naweza m-support tu.
Kwakua nimejua lengo lake, nimeona asije akaji attach akaja kuumia mbeleni.
Kosa liko wapi?
Sikuona faida ya kutake advantage of her
(mke bado hajaja) nimemzuga ila mwishowe nimeona nimwambie ukweli kua hata akijichanganya tukasex akapata mimba chance ya kuwa na mimi ni 0, at best naweza m-support tu.
Kwakua nimejua lengo lake, nimeona asije akaji attach akaja kuumia mbeleni.
Kosa liko wapi?
Sikuona faida ya kutake advantage of her