Dada Kaniblock baada ya kukataa asije nyumbani

Dada Kaniblock baada ya kukataa asije nyumbani

Kuna Wadada wanapenda kuumizwa wenyewe, staff member center mpya ya kazi, dada haamini kuwa niko taken, amelazimisha aje ninapoishi.

(mke bado hajaja) nimemzuga ila mwishowe nimeona nimwambie ukweli kua hata akijichanganya tukasex akapata mimba chance ya kuwa na mimi ni 0, at best naweza m-support tu.

Kwakua nimejua lengo lake, nimeona asije akaji attach akaja kuumia mbeleni.
Kosa liko wapi?

Sikuona faida ya kutake advantage of her
Ukweli unauma 😁😁😁
 
Mie mwenyewe kuna sehemu nimeganda hadi sasa wakati lengo langu lilikuwa nipige afu nipite hivi.
 
Nambie kile ntakachokikosa kama nisipomla mkuu,
Itakushushia Hadhi ya Uanaume Machoni pake.

Lkn pia utaitwa majina ya Kila aina yaan utatangazwa kua Jogoo hapandi mtungi n.k .


Kiuhalisia hutopungukiwa kitu kivile, ila amini nakuambia, Mwanamke anayejiweka, Huwa ni shariti umkanyage no matter ni Ana kalio lakawaida, la Kati, kubwa, kubwa sanaaaaaaa

Ama kweli upele humuota asiye na kucha
 
Yawezekana anataka kumuunga kwenye grid.
Weweeee Kwa Dunia hiii, hata Demu unayemuanza weeeewe, Pigia ndom.


Huwa mnajifanya sana mkiwa na utimamu..baadae mkiwa Bar, mkanywa mipombe, akili zikaruka, mnabeba malayaa, mnaenda mnakula nyamanyama .



Mkiwa na utimamu wa akili, mnakuja Kuanzisha Mada "Hivi wanaokula Malaya wa Telegram, Wana mioyo gani?"



Mimi nawambiaz Malaya wa Telegram ndo haohao wa Bar
 
Sema una vi element flan hiv kama vya upinde wanaume hatupo Ivo
Unaomba ushauri badala ya kuchakata mbususu
 
Kwani alikwambia anataka ndoa?
Pengine alitaka mchezeane Tu halafu muachane??.
Utakuja kuzushiwa maneno mengine bure ... wanawake wa Kiafrika hawataki kukataliwa [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maneno gani??
 
Ivo yaan cute.... mwingine amebarikiwa dudu na namna ya kuitumia K,lakini kanyimwa utashi wa kuishi na mwanamke....bas atatumika Kama kunio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni kibokoooo, khaaaah
 
Back
Top Bottom