MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 339
- 505
Wakuu! Heri ya Mwaka 2023. Mwenzenu mwaka Jana umeisha Kwa kufananishwa na dada mmoja mrembo ambaye anauza duka la bidhaa za jumla na rejareja jirani na ninapokaa.
Huyu dada siku nimekaa Kwa Hilo duka Kuna ka pub jirani take,na yeye ni mtu asiyetumia kilaji kabisa na amenyooka katika Imani, lakini alinifuata hapo pub mbele ya watu na kuniambia teacher habari za siku ,ilibidi nimuulize nilikufundisha shule gani, akanitajia secondary moja huko Moro twn,nikauliza Tena SoMo Gani akasema civics .
Ilibidi nimkubalie tu maana niliona nitamfedhehesha mbele za watu lakini kiukweli Mimi sijawahi kuwa mwalimu na sijawahi kufundisha popote.
Baada ya hapo amekuwa akifurahi sana akiniona na akijitapa kwa wenzie kuwa Mimi ni mwalimu mzuri sana,nilimfundisha vizuri na pia amekuwa akinipa vi OFA vya kulazimisha hata kama sitaki. Nifanyeje wakuu.
Huyu dada siku nimekaa Kwa Hilo duka Kuna ka pub jirani take,na yeye ni mtu asiyetumia kilaji kabisa na amenyooka katika Imani, lakini alinifuata hapo pub mbele ya watu na kuniambia teacher habari za siku ,ilibidi nimuulize nilikufundisha shule gani, akanitajia secondary moja huko Moro twn,nikauliza Tena SoMo Gani akasema civics .
Ilibidi nimkubalie tu maana niliona nitamfedhehesha mbele za watu lakini kiukweli Mimi sijawahi kuwa mwalimu na sijawahi kufundisha popote.
Baada ya hapo amekuwa akifurahi sana akiniona na akijitapa kwa wenzie kuwa Mimi ni mwalimu mzuri sana,nilimfundisha vizuri na pia amekuwa akinipa vi OFA vya kulazimisha hata kama sitaki. Nifanyeje wakuu.