Dada kanifananisha au anataka nimtafune. Ushauri tafadhali

Kuna siku ataibuka mwalimu original halafu utaonekana tapeli.

Ukwl humweka mtu huru ..
 
Wewe jamaa unanyota ya kuwa mwalimu .

Shida yetu buana, kichwa kidogo kishaanza kusumbua tayari.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa akili hizi hata tukihamishiwa marekani sasa hivi baada ya miezi miwili tutaomba msaada kwa nchi tajiri
Trump alishawahi kulisema hili. Kwamba tukibadilishana mabara Wamarekani waje Africa na sisi twende Marekani baada ya miaka mitano tu tutakuja Afrika kuwakopa wazungu..

Our priorities are wack!
 
Afu ukute Dada wa watu hana hili wala lile…we ushamuwazia kumtafuna!
 
Alikua/ulikua mwl mzuri ulizokizalisha kinauza duka la mangi .....pelekea moto huwezi jua mbleni ,weka alama
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…