mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mtu hawezi kuibuka tuu kukupa ushauri wa kutafuta mchepuko wa kukutuliza moyo kama hajui moyo wako haujatulia?! Hao ni mashosti na lazima wanajuana na wanajua jinsi ya kukukama
green rajab Inawezekana kabisa huyo mke wenu anachepuka haswa sasa anahitaji kujisafisha
Poleni mwayego
Huyu mke wetu anasema yeye alimuambia amekuta meseji za wanawake kwenye simu ya best angu sasa akawa anamdisia wifi yake ndio akakutana na ushauri huo wa kubomoa
Hahahaaa siku atakayofuata huo ushauri hatokaa akuambie, ila ipo siku... Anayeweza kutuelewa wanawake ni Mungu tuu😃😃😃
Kwavile ni wewe basi basi"
[emoji120]
Happy sunday Mafiningo