Dada mtu anamtafutia wifi yake bwana

Dada mtu anamtafutia wifi yake bwana

Mtu hawezi kuibuka tuu kukupa ushauri wa kutafuta mchepuko wa kukutuliza moyo kama hajui moyo wako haujatulia?! Hao ni mashosti na lazima wanajuana na wanajua jinsi ya kukukama

green rajab Inawezekana kabisa huyo mke wenu anachepuka haswa sasa anahitaji kujisafisha

Poleni mwayego
Huyu mke wetu anasema yeye alimuambia amekuta meseji za wanawake kwenye simu ya best angu sasa akawa anamdisia wifi yake ndio akakutana na ushauri huo wa kubomoa
Hahahaaa siku atakayofuata huo ushauri hatokaa akuambie, ila ipo siku... Anayeweza kutuelewa wanawake ni Mungu tuu😃😃😃

Kwavile ni wewe basi basi"
[emoji120]

Happy sunday Mafiningo
 
Huyu mke wetu anasema yeye alimuambia amekuta meseji za wanawake kwenye simu ya best angu sasa akawa anamdisia wifi yake ndio akakutana na ushauri huo wa kubomoa
Mwambie best ako huo ushauri utafanyiwa Kazi tuu, hapo anajikoo anajikosha
 
Katika hali isiyoendana na maadili yetu ya Kiafrika Best angu kaja kunipa story kua mke wake alienda kumsalimia wifi yake ambaye dada wa best angu dukani kwake katika mazungumzo yao wifi akaanza kuelezea maisha yake ya ndoa na mumewe ambaye wameoana muda tu na wajaaliwa kupata watoto wa 3 ila kaamua aanze kuishi maisha ya kuchepuka na mabwana wa pembeni makusudi ili apate tulizo la moyo.

Ndipo alipoanza kumshawishi mke wa jamaa nae atafute bwana wa pembeni hatapata stress yoyote ya mapenzi.

Jamaa baada kuambiwa hatua aliyochokua ni kuondoa ushirikiano wa aina baina yake na dada yake na amempiga marufuku mke wake kukanyaga tena huko. Hizi familia zingine kwa kweli ndugu hawapendani kabisa.
Mzaramo?
 
Wanawake wajinga wawili walikutana lolote linaweza kutokea

Sababu mwanamke anachykua ujinga kwa rafiki mtu anayepiga nae story akichanganya na ujinga wake wa ASILI ndo kabisaaaa
 
Kikulacho…..

Katika hali isiyoendana na maadili yetu ya Kiafrika Best angu kaja kunipa story kua mke wake alienda kumsalimia wifi yake ambaye dada wa best angu dukani kwake katika mazungumzo yao wifi akaanza kuelezea maisha yake ya ndoa na mumewe ambaye wameoana muda tu na wajaaliwa kupata watoto wa 3 ila kaamua aanze kuishi maisha ya kuchepuka na mabwana wa pembeni makusudi ili apate tulizo la moyo.

Ndipo alipoanza kumshawishi mke wa jamaa nae atafute bwana wa pembeni hatapata stress yoyote ya mapenzi.

Jamaa baada kuambiwa hatua aliyochokua ni kuondoa ushirikiano wa aina baina yake na dada yake na amempiga marufuku mke wake kukanyaga tena huko. Hizi familia zingine kwa kweli ndugu hawapendani kabisa.

 
Katika hali isiyoendana na maadili yetu ya Kiafrika Best angu kaja kunipa story kua mke wake alienda kumsalimia wifi yake ambaye dada wa best angu dukani kwake katika mazungumzo yao wifi akaanza kuelezea maisha yake ya ndoa na mumewe ambaye wameoana muda tu na wajaaliwa kupata watoto wa 3 ila kaamua aanze kuishi maisha ya kuchepuka na mabwana wa pembeni makusudi ili apate tulizo la moyo.

Ndipo alipoanza kumshawishi mke wa jamaa nae atafute bwana wa pembeni hatapata stress yoyote ya mapenzi.

Jamaa baada kuambiwa hatua aliyochokua ni kuondoa ushirikiano wa aina baina yake na dada yake na amempiga marufuku mke wake kukanyaga tena huko. Hizi familia zingine kwa kweli ndugu hawapendani kabisa.

Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.
 
Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.

Ufunuo 2:20
Lakini nina jambo hili dhidi yako, kwamba unamsamehe mwanamke Yezebeli, ambaye hujiita nabii na anafundisha na kudanganya watumishi wangu kufanya vitendo vya ngono
 
Back
Top Bottom