Dada poa wapigwa marufuku wilaya ya Uyui.

Dada poa wapigwa marufuku wilaya ya Uyui.

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
7,755
Reaction score
11,737
Habari Wana JF,mambo yanazidi kuwa magumu!Wanancnhi wa wilaya ya Uyui,wamelalamikia madada poa ambao hupitapita kutafuta wateja huku wakiwa wamevaa nguo zisizo na Heshima.
Pia wameonyesha wasiwasi wao kwa watoto wanakuwa wanajifunza Nini wawaonapo na nguo zisizo na staha?!

Kwa kukazia mkuu wa wilaya hiyo,amemwagiza OCD,waondoke kwenye shghuli hiyo ndani ya masaa24,La sivyo washughulikuwe kisheria.

Chanzo:ITV_Taarifa ya Habari .
 
Badala ya kutoa tamko wakamatwe na kushughulikiwa, angewasaidia kuwaunganisha then kuwapa hata mitaji ile ya almashauri ili wajikwamue kiuchumi. Wengi hapo shida kuu ni uchumi. Ukiwaondoa Uyui wataenda mji mwingine. Unahamisha tatizo sio kusolve tatizo.
 
Badala ya kutoa tamko wakamatwe na kushughulikiwa, angewasaidia kuwaunganisha then kuwapa hata mitaji ile ya almashauri ili wajikwamue kiuchumi. Wengi hapo shida kuu ni uchumi. Ukiwaondoa Uyui wataenda mji mwingine. Unahamisha tatizo sio kusolve tatizo.
Ni kweli mkuu,wangewapa mitaji na mambo yaende!
 
Sasa itakuwajee mkuu,na nafasi zao nyie wazee meshikilia uko Kwenye hzo ajira penginepo baadhi Yao hao malaya wangetakiwa waajiriwe🤔
 
Back
Top Bottom