Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
- Thread starter
- #21
Sawa Mkuu!Biashara ya dada poa haiwezi kuisha wala kupungua bali inazidi kuongezeka tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mkuu!Biashara ya dada poa haiwezi kuisha wala kupungua bali inazidi kuongezeka tu.
SawasawaKwa vichani labda mkuu... Uyui ipo local sanaa
Hapo dawa ni kupewa leseni tu wawe wanalipa kodi kama wafanyabiashara wengine.Sawa Mkuu!
Wengi wanaobaka watoto wanakuwa wanatimiza masharti ya waganga.Wangewaacha tu
Maana hapo wanaume wakikosa dadapoa watabaka watoto...wasivyo na akili
Dada poa ni mfupa uliomshinda kila aliyejaribu kuutafuna nchi nzimaHabari Wana JF,mambo yanazidi kuwa magumu!Wanancnhi wa wilaya ya Uyui,wamelalamikia madada poa ambao hupitapita kutafuta wateja huku wakiwa wamevaa nguo zisizo na Heshima.
Pia wameonyesha wasiwasi wao kwa watoto wanakuwa wanajifunza Nini wawaonapo na nguo zisizo na staha?!
Kwa kukazia mkuu wa wilaya hiyo,amemwagiza OCD,waondoke kwenye shghuli hiyo ndani ya masaa24,La sivyo washughulikuwe kisheria.
Chanzo:ITV_Taarifa ya Habari .
Kweli kweli!Dada poa ni mfupa uliomshinda kila aliyejaribu kuutafuna nchi nzima
Kumbe?Wengi wanaobaka watoto wanakuwa wanatimiza masharti ya waganga.
Wewe ni mtoto? Uliza bei utajua tuu ni dada poa.Utagunduaje kuwa huyu ni dada poa?
chanzo: ITV/Radio one, taarifa ya habari. Hawa madadapoa mbona wapo katika miji mingi tu tena mpaka vijijini, hali ni ngumu hakuna ajira, hawana ujuzi, hawana ndoa!Habari Wana JF,mambo yanazidi kuwa magumu!Wanancnhi wa wilaya ya Uyui,wamelalamikia madada poa ambao hupitapita kutafuta wateja huku wakiwa wamevaa nguo zisizo na Heshima.
Pia wameonyesha wasiwasi wao kwa watoto wanakuwa wanajifunza Nini wawaonapo na nguo zisizo na staha?!
Kwa kukazia mkuu wa wilaya hiyo,amemwagiza OCD,waondoke kwenye shghuli hiyo ndani ya masaa24,La sivyo washughulikuwe kisheria.
Chanzo:ITV_Taarifa ya Habari .
hapana, hao wanaofanya msako watawabaini vipi?Wewe ni mtoto? Uliza bei utajua tuu ni dada poa.
ehe, sheria inasemaje c kila mtu ana haki ya kufanya chochote anachotaka? Niambie sheria gani inakataza uvaaji wa nguo fupi. Tunaacha kudeal na mashoga,ndoa za jinsia moja, tunadeal na hawa watu wanaojitafutia riziki zao kutokana na ukosefu wa ajira nchini?Wanatembea nusu uchi mchana kweupeeeee, wakazi wa hapo wanalalamikia maadili kwa watoto wao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama mnawanunua wenyewe na mnawalipa gunia moja la mpunga kwa kulala naye usiku mmoja kwanini wasije.Hapo suluhu wasukuma na wanyamwezi kuacha ushamba.
Wee uko Timamu?ehe, sheria inasemaje c kila mtu ana haki ya kufanya chochote anachotaka? Niambie sheria gani inakataza uvaaji wa nguo fupi. Tunaacha kudeal na mashoga,ndoa za jinsia moja, tunadeal na hawa watu wanaojitafutia riziki zao kutokana na ukosefu wa ajira nchini?
Bana bana weeeehPoor Brain no caption
umeni quote vibaya mkuu,rudia kusoma tena alafu uje uniombe radhi? cocasticWee uko Timamu?
Ko madada poa na makahaba ni halali, ila Ushoga ni jinai? Hivi huu unafiki utawaondoka lini? Lol
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app