Dada tukuombee upate mume, tako au kazi? Hebu funguka

Mfilisiti

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2020
Posts
396
Reaction score
1,958
Haya wadada njooni hapa mpate kufungukaπŸ˜€πŸ˜€ maana malaika wa Mungu anapitia huu uzi.

NB: Siku hizi mjini mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree.
 
Muombee apate mimba japo jitahidi uwaweke malaika mbali na hii mada yako.
 
Manzi msomi [emoji777]

Manzi mzuri sura[emoji777]

Manzi mwenye pesa[emoji777][emoji777]

Manzi mwenye tackle[emoji3581][emoji3581]
 
Jamii ilikofikia Sasa tako bila elimu ni nn,Kam sio dharau
 
Haya wadada njooni hapa mpate kufungukaπŸ˜€πŸ˜€ maana malaika wa Mungu anapitia huu uzi.

NB: Siku hizi mjini mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree.
πŸ˜‚πŸ˜‚Ila jamani
Mim nmeshindwa kujibu kwa maneno yani ingekua ni kwa vitendo ungeshangaa sana mtoa maraπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…