Dada uliyekuwa ukinunua vitabu 4 Nakumat please ni-pm

Oooh jamani ilikuwaje hukumuomba namba hapo hapo?
 
hata akiona bandiko hili hataku-pm. keshajua hujiamini ndo maana hukuomba namba pale pale
 
Kwako dada uliyekuwa unanunua vitabu mlimani city pale Nakumat, kama upo JF please ni-pm. Ulikuwa mbele yangu na we had a little chat about reading books. Please pm me kama upo humu JF.
Tatizo lako ulishindwa kunata na beat,ulikuwa unataka kwenda kariakoo unaulizia basi la kwenda kimara,unapaswa ufunguke kinachokusibu kuliko kupiga mboyoyo mingi mingi wakati unajua unachohitaji
 
Duh...umepata hadi nafasi ya kuchat nae, bado unakuja kumtafuta huku jf!
Mkuu it was a coincidence na we only talk some few things...but later nilivoviwaza vizur looks productive. ..wengi humu naona wanawaza issue za mapenz flan....
 
Kwako dada uliyekuwa unanunua vitabu mlimani city pale Nakumat, kama upo JF please ni-pm. Ulikuwa mbele yangu na we had a little chat about reading books. Please pm me kama upo humu JF.
Ulidhani mngekaa nakumatt masaa 10? Siku zingine soma alama za nyakati.. Rule number 1. Usiachane na demu hujaomba namba ya simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…