Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

One day i said this kwa mtu. Threads unazoona zinafunguliwa kushit wanawake mostly ni vibroke boys with no future. Real men wametulia kimyaaa mahali wanawashangaa hawa wavulana badala wajijenge kimaisha kutwa kusutana na dada zao
Hawa ni vijana wenzetu njaa kali tu Sasa stress huwa kujianzishia nyuzi za kushambulia wanawake humu, mbona hata sisi wanawake tunapambana Ila hatushambilii ntu yoyote
 
Yaan hivi ndo aina ya vivulana vikifika age ya uzee vinakufa na depression kwa kutokua na mbele wala nyuma. Kwa mawazo kama haya huyu ana akili gani kichwani.

Hivi unajua kama kila mtu ana preferences zake dogo? Unadhani ndoa ni kuoa ama kuolewa randomnly tu kisa age imesonga? Hapana... kama ni kuolewa mbona hata chizi unaolewa naye, hata nani unaolewa ama kuoa. Lakini age haikufanyi ujishushe uwe na mtu ilimradi mtu. Haya utakuja kumuusia binti yako siku moja kama sisi tunavyousiwa na baba zetu... halaf tuonyeshane makaburi ya wasimbe na wasio wasimbe. Halaf msimbe kumbuka na wewe ni msimbe.
Yeye anajua mwanamke above 30 hivi vile ni hyo age amkubalie tu yoyote bila kujua people differ in preferences wengine Wana wapenzi wa jinsia moja, na hawawaz mahusiano mengine. Huko vijijini Hadi machizi wanaoana kabisa sembuse huku mjini
 
Hawa ni vijana wenzetu njaa Kali tu Sasa stress huwa kujianzishia nyuzi za kushambulia wanawake humu, mbona hata sisi wanawake tunapambana Ila hatushambilii ntu yoyote
Ujue sijawahi ona threads zetu kweli tukiwaattack hawa viumbe. Lakini maybe pia wanapunguza msongo wa mawazo. Maana si kwa akili hizi za kuokoteza
 
Yeye anajua mwanamke above 30 hivi vile ni hyo age amkubalie tu yoyote bila kujua people differ in preferences wengine Wana wapenzi wa jinsia moja, na hawawaz mahusiano mengine. Huko vijijini Hadi machizi wanaoana kabisa sembuse huku mjini
Yaan ndo kama uko na mahusiano ila unaona kbs hapa hamna kitu ila eti kwakua age inasonga basi uendelee kubaki unalia kama ambulance ya mloganzila.[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Wasimbe ni mama zako dogo... kuwa na adabu..kila siku kujaza server tu kwa ufala. Ama ndo mnataka igeuza jf twitter. Sasa unajua maana ya msimbe? Mbona na wewe ni msimbe..

Ndio mimi ni msimbe, Kwani kuambiwa msimbe ni Tusi ?? Acha kupanick dada [emoji28][emoji28]
 
Hahaaaa utoto huo kwahyo kuwa na umri mkubwa huruhusiwi kutoa mawazo, dah wewe utakuwa uzalilisha wazee kisa umri, kufika age flani ni neema za Mungu Tena ni heri na wewe utafikia tu umri huo au usifike maana ni mjinga flani, and you have nothing to show ka kutongoza Kuna kushinda ungekuwa na mafezwa usingekuja kulia lia si waona kina diamond hawatongozi wanajulikana

Mkuu Cariha tulie Dawa ikuingie [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan ndo kama uko na mahusiano ila unaona kbs hapa hamna kitu ila eti kwakua age inasonga basi uendelee kubaki unalia kama ambulance ya mloganzila.[emoji706][emoji706][emoji706]
Kwani age ya mtu ikieenda yeye anaumia nini, kwani ni dadake huyo aisee
 
Hawa hawana hela ndo vinara wakutukana humu jf ndo wanakua humu jf Kuna watu wazito hawana huu ujinga

Nani ameku bukly hapa..! You guys are missing it. Hivi ulielewa hoja yangu kubwa ya kuleta huu uzi. Mdada nimekupigia simu ukaniulizia nani mwenzangu nikajitambulisha vizuri kuwa mimi ni Redpanther, oooh kumbe sawa then Unanikomalia nani kakupa namba yangu. Lilikuwa ni suala la kuniuliza ulikuwa unasemaje nikusadie that is it.

Yaani kwa age hiyo unakomalia tu nani kakupa namba yangu… seriously. Yaani kama hauko interested na mimi, just say it kwani ni lazima ukubali. Kukubali au kukataa ni Yote ni Maamuzi yako.
Sijui umenielewa..!
 
Mkuu Cariha tulie Dawa ikuingie [emoji23][emoji23][emoji23]
Dawa haiwezi niingia kwa kweli lazima tuwaekeweshe hafu Hilo neno wasimbe makabila ya kishamba ndo hupenda kulitaja kweli why?
 
Yaan hivi ndo aina ya vivulana vikifika age ya uzee vinakufa na depression kwa kutokua na mbele wala nyuma. Kwa mawazo kama haya huyu ana akili gani kichwani.

Hivi unajua kama kila mtu ana preferences zake dogo? Unadhani ndoa ni kuoa ama kuolewa randomnly tu kisa age imesonga? Hapana... kama ni kuolewa mbona hata chizi unaolewa naye, hata nani unaolewa ama kuoa. Lakini age haikufanyi ujishushe uwe na mtu ilimradi mtu. Haya utakuja kumuusia binti yako siku moja kama sisi tunavyousiwa na baba zetu... halaf tuonyeshane makaburi ya wasimbe na wasio wasimbe. Halaf msimbe kumbuka na wewe ni msimbe.

Miss pablo naona dawa inakolea kisawa sawa…! Itaneni wasimbe wote hapa Jf mbishane na msimbe mwenzenu wa kiume niko hapa. Maana mnataka Battle ambayo haikuwa hoja ya msingi.
 
One day i said this kwa mtu. Threads unazoona zinafunguliwa kushit wanawake mostly ni vibroke boys with no future. Real men wametulia kimyaaa mahali wanawashangaa hawa wavulana badala wajijenge kimaisha kutwa kusutana na dada zao

Relax, sio ishu ya Broke guys wala nini..! Kama ungenifahamu nje ya Jf huenda ungetamani kufuta baadhi ya koment zako unasingizia broke guys. Mnashadadia kuwa nime mbully mtu, wapiiii ??
Guys hebu endeleeni majukumu yenu vinginevyo namimi nitaanza kujibu vile mnataka nijibu.
 
Nani ameku bukly hapa..! You guys are missing it. Hivi ulielewa hoja yangu kubwa ya kuleta huu uzi. Mdada nimekupigia simu ukaniulizia nani mwenzangu nikajitambulisha vizuri kuwa mimi ni Redpanther, oooh kumbe sawa then Unanikomalia nani kakupa namba yangu. Lilikuwa ni suala la kuniuliza ulikuwa unasemaje nikusadie that is it. Yaani kwa age hiyo unakomalia tu nani kakupa namba yangu… seriously. Yaani kama hauko interested na mimi, just say it kwani ni lazima ukubali. Kukubali au kukataa ni Yote ni Maamuzi yako.
Sijui umenielewa..!
Hoja yako nimeeielewa ila kubali umechemka mno Yani hafu mwanaume kunanga mwanamke ni uzwazwa ukikataliwa ukatalike, Sasa wewe had Uzi umeanzisha your hurt.
 
Ukitoswa toseka fanya mambo mengine ni kawaida kukataliwa na kukataa.

Mkuu sio kukataliwa.! Ujue hawa wanawake ambao wana stress za vikoba na Michezo yao huko wanayofanya ukiwasikiliza sana utaona kama tuna wabully. See, mtu ninaleta uzi kushangazwa na kile yule mdada anakikomalia. Ndio namba sijaipata kwake lakini kakomaa eti oooh sijui imekua hivi mara hivii..! Lilikuwa ni suala la kuniuliza vipi unashida gani? Na Bahati nzuri yule dada kanielewa n we are now texting each other hivyo yaani, ila still ananiambia anataka kujua nani anagawa namba yake. What’s so special na hiyo kujua nani kanipa namba ??
 
Ujue sijawahi ona threads zetu kweli tukiwaattack hawa viumbe. Lakini maybe pia wanapunguza msongo wa mawazo. Maana si kwa akili hizi za kuokoteza

Wasimbe naona dawa inawakolea kisawa sawa, ngoja nipate supu hapa nije kukoleza Moto sana. Piga nyungu pia Mkuu itakusaidia
 
No.. tunawasaidia wavulana kama wewe hapa kwa ushauri... focus na kujiweka sawa dogo

Am all eyes open reading your counsel..! Dondosha vitu kungwi, Kungwi mwenye utaalamu wake …!
 
Kwani age ya mtu ikieenda yeye anaumia Nini, kwani ni dadake huyo aisee

Cariha dawa dawa hii ni kali mnoo nitaipunguzia concentrates ili kupunguza dozi yake maana mnataka kunimeza yaani [emoji23][emoji23]
 
Hoja yako nimeeielewa ila kubali umechemka mno Yani hafu mwanaume kunanga mwanamke ni uzwazwa ukikataliwa ukatalike, Sasa wewe had Uzi umeanzisha your hurt.

Nooo I am not, trust me. Started this thread to share my experiences with girls of this caliber. Relax mama, unayakuza sana sijui mnataka nisemeje labda. Nilikiri kuwa nikichokosea nikutomface mhusika..! Then what are guys complaining about? Still wanna argue that [emoji849]
 
Back
Top Bottom