Mr George Francis
JF-Expert Member
- Jun 27, 2022
- 234
- 376
- Thread starter
- #21
Hao nao kuna somo lao muhimuMbona kuacha hamsemi....maana kuna wanaume wanaachwa mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao nao kuna somo lao muhimuMbona kuacha hamsemi....maana kuna wanaume wanaachwa mkuu.
Hatusemi akiolewa basi awe mbaya, hapana! Lakini uzuri wake usiwe sababu ya kujiona sana na kuleta dharau kwa mumewe kwamba hata afanye nini hawezi kuachika.Uzuri wake ndio umemuweka hapo, mumewe akirudi kazini anaridhika na kufarijika kuona nyumba yake ina pambo zuri, acheni kuingilia mahusiano ya watu kila mtu anavitu avipendavyo kwa mwenzi wake,
Mfano kuna watu wameoa wanawake wanachamba lile domo la mkewe yeye ndie burudani yake.