pepo mahaba. wanavaa sura za dada zake afu wanamwingilia usiku. mtu kama huyo hata akioa kupata watoto ni ngumu, majini yanafunga kizazi au yanaua mbegu zake. au hata akipata watoto, ndoa yao huwa haina amani maisha yote, hadi waokoke na hayo majini mahaba yakimbie...
kwa upande mwingine kama amefanya kiukweli lakini anasingizia ndoto...siku hizi, watu wengi tu wanafanya ngono na kaka zao /dada zao. hii inatokana na vile vimchezo ambavyo watoto huanza kufanya wakiwa wadogo hata kama ni ndugu....akiwa na umri wa miaka sita, saba, watoto wengi huwa wanachezeana uchi au kujipapasa na dada yake...wengu mnajua hili....wakifika miaka kumi na mbili wanafanya hivyo kwa kuibia pia, wakifika miaka ya kubalehe, kwa mihemko ya balahe wanafanya kabisa na bikira kwaheri...wakiendelea kwasababu walishaonana uchi wakiwa wakubwa wakaingizana kabisa, wakiwa secondary wanafanya kabisa (pale wazazi wanapowapiga geti kali)...ile hofu ya kaka na dada inapotea kabisa na wazazi si rahisi kugundua kitu kam aicho hata siku moja...wakifika umri wa watu wazima, siku wakitingwa wanafanya tu kwasababu hawaogopani walishaonana uchi wakiwa watu wazima....wengine wanaendelea hata watakapooa, wanamsaidia shemeji.
mtaa ninao kaa, kuna dada amepanga nyumba, ni mchaga, ana miaka 37, hataolewa, anakaa peke yake, ametafuta mume hadi amechoka. wengi wanamsingizia kuwa anatembea na kaka yake....cha ajabu, hadi leo hii, utakuta kaka yake anakuja kupaki kagari kake ka mkopo pale kwake mida ya saa mbili usiku....anakaa humo ndani wawili tu hadi mida ya saa saba ivi utakuta kagari ndo kanaondoka....yule kakake ukimkuta ndani, yuko huru ajabu, amevua shati yuko kufua wazi, yupo huru tu....sasa sijui ni kweli au vipi...