Dada wa JamiiForums hajibu PM zangu tena baada ya kumuambia kazi yangu kubeba zege

Dada wa JamiiForums hajibu PM zangu tena baada ya kumuambia kazi yangu kubeba zege

Nakumbuka mwezi wa 4 mwaka huu katika pitapita zangu hapa jf nikakutana na bandiko la mdada mmoja anatafta mwenza wa maisha akaweka vigezo vyake vyote na mwishoni akasema awe mchapakazi,basi mwanaume nikamfuata hadi PM tukaanza mazungumzo yetu vizuri na vigezo vyake vyote ninavyo,ndipo akaniuliza unafanyakazi gani nikamjibu mie ni mbeba zege kwa siku naingiza 25000 basi toka siku ile mpaka leo hajibu PM zangu sijajua sababu ni nn wakati tulishaongea vzr mwanzoni
Anaogopa vumbi la cementi.
 
uaenda mwaka bado hajibu PM zangu
 
Nilishapata mmoja humu ANATAFUTA MWENZA WA MAISHA...nikamvuta INBOX akaja..BAADA YA CHATING YA MUDA...nikamwambiya nitumie PCHA YAKO...hataki...nitumie no yako..pia hataki...sidhani km wapo serious..au sijuwi PENGINE BAADA YA mimi KUMTUMIA PCH YNGU.. hakupendezwa.
c082485454139523a91dc764fc0863db.jpg
 
Nilishapata mmoja humu ANATAFUTA MWENZA WA MAISHA...nikamvuta INBOX akaja..BAADA YA CHATING YA MUDA...nikamwambiya nitumie PCHA YAKO...hataki...nitumie no yako..pia hataki...sidhani km wapo serious..au sijuwi PENGINE BAADA YA mimi KUMTUMIA PCH YNGU.. hakupendezwa.
c082485454139523a91dc764fc0863db.jpg
ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Nakumbuka mwezi wa 4 mwaka huu katika pitapita zangu hapa jf nikakutana na bandiko la mdada mmoja anatafta mwenza wa maisha akaweka vigezo vyake vyote na mwishoni akasema awe mchapakazi,basi mwanaume nikamfuata hadi PM tukaanza mazungumzo yetu vizuri na vigezo vyake vyote ninavyo,ndipo akaniuliza unafanyakazi gani nikamjibu mie ni mbeba zege kwa siku naingiza 25000 basi toka siku ile mpaka leo hajibu PM zangu sijajua sababu ni nn wakati tulishaongea vzr mwanzoni

HUYO ULIMJBU VIZURI KAMA MWOLEWAJI ANGEJIONGEZA NAAMINI IWE NI ZEGE AU SIYO HUYO YUKO KIUCHUMI ZAIDI ACHANA NAYE MWIZI NA HIYO TRICK UMETUMIA VIZURI KUMTAMBUA. ACHA KUTAFUTA MTANDAONI KAMA NI KWELI UNATAFUTA MCHUMBA KATAFUTE BAR UTAMPATA MKWELI KANISANI WOTE WANAFIKI MSIKITINI SINA JIBU ILA NI WALEWALE
 
Harafu anakukataa unayeingiza 25000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 750000 harafu anamkubal anayelipwa laki tatu kwa mwezi kisa mvaa tai mpauko, baadhi ya wanawake akili zao zinawatosha wenywe
 
Harafu anakukataa unayeingiza 25000 kwa siku ambayo kwa mwezi ni 750000 harafu anamkubal anayelipwa laki tatu kwa mwezi kisa mvaa tai mpauko, baadhi ya wanawake akili zao zinawatosha wenywe
ndo nashangaa wakati kwenye vigezo anataka mwanaume mchakalikaji namie mchakarikaji kweli
 
Back
Top Bottom