Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
Mbona ndio kawaida ya madada wa kazi hupatikana kupitia madalaliMnatumia madalali kuleta watu makwenu!!
Tuwaombee wapatikane salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ndio kawaida ya madada wa kazi hupatikana kupitia madalaliMnatumia madalali kuleta watu makwenu!!
Tuwaombee wapatikane salama
Ujinga mnaufanya kawaida, mtu huijui hata familia yake anakuja kukaa na wanao siku nzima na wewe haupo.Mbona ndio kawaida ya madada wa kazi hupatikana kupitia madalali
mkiishi na wafanyakazi msiwanyanyase!!!Mohammad Kassim ambaye ni Baba Mzazi, ametangaza kupotelewa na Watoto wake wawili ( wanaoonekana pichani ), ambao wamepotea jana jioni majira ya saa kumi na mbili maeneo ya Temeke Jijini Dar es salaam wakiwa na Dada wa Kazi.
Akizungumza Kassim amesema Dada huyo wa kazi ambaye jana ilikua ni siku ya tatu tangu kuanza kufanya kazi kwenye Familia hiyo, aliondoka na Watoto hao akiaga kuwa anakwenda nao Dukani lakini wakatokomea moja kwa moja.
Soma Pia:
“Aliowachukua Watoto ni Dada wa kazi aliyekaa nao kwa siku tatu tu, inaonekana kuiba Watoto ndilo lilikua lengo lake kwasababu baada ya kutokomea simu yake haipatikani na hata wale waliomuunganisha kupata kazi kwetu nao simu zao hazipatikani, tunaomba Watanzania watusaidie kusambaza taarifa hizi” - Kassim ameiambia AyoTV.
- Matukio ya Dada wa kazi kuwafanyia ukatili watoto wa maboss ikiwamo kuwaua nani alaumiwe?
- Watoto wawili wa familia moja wapotea baada ya kuaga wanakwenda shule Julai 24, 2024
“Tunaomba yeyote mwenye taarifa za Watoto hawa aende Kituo chochote cha Polisi kilicho karibu nae au anipigie kwa namba yangu 0744-555-574” - Kassim.
View attachment 3200914
Siyo tu salamaleko na pia huwa na bwana asifiwe na tumaini letu nyingiiiii.Alafu vidada vya hivyo vinajifanyaga vinajua dini hivyo
Kila dakika salamaleko na ushungi juu kumbe vizi tu
Pole sana kwa Baba na Mama waliopotelewa na watoto
Mengine yana roho mbaya tu hata usipolinyanyasa lawaza fanya ubaya.mkiishi na wafanyakazi msiwanyanyase!!!
jini likujualo halikuli ukaisha!!!!,,,,,manyanyaso si kumnyima chakula tu,ata maneno ya asimango ni hatari,,,hivi unajua chanzo cha UGAIDI???,,,,,,,,,,,,magaidi ni wa2 waliochoshwa na mfumo kandamizi,so wanaamua kufanya lolote baya ili kulipiza kisasi,,,ujue,ata kwa sisi wafugaji,ukijijua wewe ni mlevi usipipige mbwa koko ,wakikufamania ukiwa umelewa na wao wapo kwenye kipindi chao cha kupandana[joto] utaokotwa ukukiwa umetafunwa,,,,,ata hao masela unaowaona mtaani hawaheshimiki,,,wewe kwa nafasi yako waheshimu tu kwani watakusaidia siku moja!!Mengine yana roho mbaya tu hata usipolinyanyasa lawaza fanya ubaya.
Niliishi na house girl kama mtiyowangu nikampeleka shule na huduma nzuri sana lakini hakuwa mwema hata kidogo mwisho wa yote aliiba myoto akishirikiana na Jirani .
Yaani kwangu hayo hayapo ni ndugu kama ndugu nimeishi na house girls 4 na wote leo wanamaisha bora zaidi Elimu kazi na ndoa zenye kueleweka.jini likujualo halikuli ukaisha!!!!,,,,,manyanyaso si kumnyima chakula tu,ata maneno ya asimango ni hatari,,,hivi unajua chanzo cha UGAIDI???,,,,,,,,,,,,magaidi ni wa2 waliochoshwa na mfumo kandamizi,so wanaamua kufanya lolote baya ili kulipiza kisasi,,,ujue,ata kwa sisi wafugaji,ukijijua wewe ni mlevi usipipige mbwa koko ,wakikufamania ukiwa umelewa na wao wapo kwenye kipindi chao cha kupandana[joto] utaokotwa kukiwa umetafunwa,,,,,ata hao masela unaowaona mtaani hawaheshimiki,,,wewe kwa nafasi yako waheshimu tu kwani watakusaidia siku moja!!
sawa mazee!!!!! bu "KARMA is REAL"Yaani kwangu hayo hayapo ni ndugu kama ndugu nimeishi na house girls 4 na wote leo wanamaisha bora zaidi Elimu kazi na ndoa zenye kueleweka.
Unapo ishi na house kumbuka ana maisha zaidi ya kuwa dadawakazi.
YAPASA KUMJENGEA UWEZO WA MAISHA YAKE YA BAADAE NAWE UTABARIKIWA.
Lakini kwasasa house girl wengi sio waaminifu.