Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyi bibi yako anakaa wapi?Labda unatetemeka wewe,kwetu watoto wanapelekwa kwa bibi,dada anapewa chake aondoke.
Msiwanyenyekee sana wadada wa kazi,kama unamlipa vizuri atakuheshimu na atakwambia mapema siku ya kuondoka ila kama unamlipa vibaya atakuendesha atakua anatest mitambo ya kila aina huku akikutesea wanao vibaya mno
Maendeleo gani tena hayana chama boss, mbona tumesha achana nayo!Hahaaa..hasa ukute bosi na watoto wadogo pia ni mfanya kazi..kiukweli hawa wanasaidia sana kazi za ndani..ila wanapewa maslahi madogo sana...wamama muache roho mbaya dhidi yao...ndio mana wanaume hua tunawafariji dhidi ya mateso haya(natania tu)..[emoji28][emoji28]
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa! Sawa ila kazi inaendelea chini ya chama.Maendeleo gani tena hayana chama boss, mbona tumesha achana nayo!
Mkuu huyi bibi yako anakaa wapi?
Siku hizi madada wa kazi, house boys,na wafanyakazi wa kulisha ng'ombe ua kuku ni bidhaa adimu sana.Hahaaa..hasa ukute bosi na watoto wadogo pia ni mfanya kazi..kiukweli hawa wanasaidia sana kazi za ndani..ila wanapewa maslahi madogo sana...wamama muache roho mbaya dhidi yao...ndio mana wanaume hua tunawafariji dhidi ya mateso haya(natania tu)..[emoji28][emoji28]
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nae yupo kwenye madanguro ya kihaya!anapoishi bibi yako
Afu wengi wao sku hz hawatak kufanya kaz muda mrefu kama zaman,akikaa sana kwako n miezi 6,akiondoka kumpata ndo inshuSiku hizi madada wa kazi, house boys,na wafanyakazi wa kulisha ng'ombe ua kuku ni bidhaa adimu sana.
Maksudi wanafanya. They want to hit where it hurts most. Dawa yake ni kubaki na hata elfu 10 ya mshahara wa kila mwezi ndio mtaagana vizuri.Na wanakuwaga na wrong timing kinoma.
Kwakweli umeongea ukweli mtupi aise Hawa watu Wana faida kubwa Sana Ila hawaonekani kabisa ,wanadhauraulika, hawathaminiki na hata kunyanyasika na mishahara midogo mnoKheri ya siku ya waajiriwa duniani lakini kwa hali ilivyo ni dada wa kazi tu ambaye akitangaza anaacaha kazi bosi anatetemeka wengine waliobaki wala
Inaonyesha una roho mbaya ww😆Labda unatetemeka wewe,kwetu watoto wanapelekwa kwa bibi,dada anapewa chake aondoke.
Msiwanyenyekee sana wadada wa kazi,kama unamlipa vizuri atakuheshimu na atakwambia mapema siku ya kuondoka ila kama unamlipa vibaya atakuendesha atakua anatest mitambo ya kila aina huku akikutesea wanao vibaya mno
Familia yangu ishawasahau hao wadada wa kazi,sijui kuna uhusiano gani kati ya wafanyakazi wa ndani na ushirikina.Labda unatetemeka wewe,kwetu watoto wanapelekwa kwa bibi,dada anapewa chake aondoke.
Msiwanyenyekee sana wadada wa kazi,kama unamlipa vizuri atakuheshimu na atakwambia mapema siku ya kuondoka ila kama unamlipa vibaya atakuendesha atakua anatest mitambo ya kila aina huku akikutesea wanao vibaya mno
Nilikuwa na mmoja sexual urges zikimshika anakupigia simu kama haupo home njoo uwaangalie watoto wako Mimi naondoka.Maksudi wanafanya. They want to hit where it hurts most. Dawa yake ni kubaki na hata elfu 10 ya mshahara wa kila mwezi ndio mtaagana vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app