Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Nipo my dear ...mzima?Upogo ndugu yangu?
Kumbe alikuwa ni mkaka?Wanaomtaja warumi kwenye kila nyuzi za ubuyu ni wanafiki wakubwa. Kila akileta uzi na kuweka madoido yake kama misonyo,matusi reja reja mlikua mnamkejeli,mnamtukana. Mwacheni apumzike kaka wa watu.
Ila mashalove nae sijaona cha kubadili,zile nyonyo angevaa sindiria vizuri mbona zipo bomba tu
Sorry.naomba kujua.Wanaomtaja warumi kwenye kila nyuzi za ubuyu ni wanafiki wakubwa. Kila akileta uzi na kuweka madoido yake kama misonyo,matusi reja reja mlikua mnamkejeli,mnamtukana. Mwacheni apumzike kaka wa watu.
Ila mashalove nae sijaona cha kubadili,zile nyonyo angevaa sindiria vizuri mbona zipo bomba tu
Jamani[emoji24] Apumzike kwa amani.Ndio
Warumi katuacha dear😒Jamani[emoji24] Apumzike kwa amani.
...du.ndo naajua leo
🤣🤣🤣🤣🤣Salam ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye Bunyero,mwambie simba kasharara anataka msambwanda kwa buku help. Aje
Watu wanahela za kuchezea jamani...yale maziwa ya Dada balozi yanashida gani hadi waamue kuyapeleka Turkey?
Kua serious. Huyo mtu ana semi trela kifuani afu aongeze tena?wanayaongeza au wanayapunguza??
Share dhambi bro.Acha afe dalali wa mademu wenzie mjini
Nina video yake moja daaah ile kazi anayoiuza [emoji119][emoji119] mpaka dudu ilisimama
Hakika.Wanaomtaja warumi kwenye kila nyuzi za ubuyu ni wanafiki wakubwa. Kila akileta uzi na kuweka madoido yake kama misonyo,matusi reja reja mlikua mnamkejeli,mnamtukana. Mwacheni apumzike kaka wa watu.
ManyonyoKuna mtu kasema maziwa ?
View attachment 1958265
sasa hiyo semi trailor si ndiyo mtaji wake??Kua serious. Huyo mtu ana semi trela kifuani afu aongeze tena?