Dada wa mjini kimeumana Uturuki

Dada wa mjini kimeumana Uturuki

Akili yangu inanituma baada ya goli la China kuwa gumu inaonekana Uturuki ndio upenyo mpya wa wasafirisha unga.

Subirini tu siku si nyingi mtaniambia, kwamba sasa hivi hospitali za India hazifai tena?
Na huu ndo ukweli wenyewe nimeambiwa hajaenda sajari wall nini,mapoda yamehamia hukoo!
 
Huyo Masha Love si ndio ana mavideo kibao anatangaza biashara ya madada wenzie wakiwa watupu [emoji849]
 
Vile nafuatilia huu umbea kwa umakini😁😁😁
 
Back
Top Bottom