Dada yake mwl jk nyerere amewahi ishi kijiji cha kalinzi - kigoma?.

Dada yake mwl jk nyerere amewahi ishi kijiji cha kalinzi - kigoma?.

DOMBWELA

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
757
Reaction score
843
Ni muda mrefu nimekuwa nikitakujua maisha ya baba yetu wa Taifa na familia yake kwa ujumla, na hii ni kutokana na nilivyotokea kumpenda!. Siku moja nikizungumza na mzee mmoja juu ya wanafamilia hao akaniambia kuwa, ''nilikuwa na ishi eneo moja na dada yake na Nyerere katika kijiji cha Kalinzi Mkoani Kigoma", mwenye taarifa/tetesi maneno ya mzee huyo yana ukweli?.
 
We unaonaje kwani?
Aliishi hapo?
 
kalinzi,mkongoro ,bitale,mkabogooooooo,sithani kama kweli labda katandara mwamgongo.
 
Back
Top Bottom