Laana imeingia tayari mmmh:doh::doh::doh:
Hakuna haja ya kuhama nyumba...............kuna namna nyingi za kukwepa mitego kama hiyo.Nahama nyumbani kwani mwanamke ni yeye tu?
Fikiria umezaliwa peke yako kwenye familia,baadae dingi anakuletea binti home anakuambia ni dada yako alimpata kabla hajakutana na mama yako,muda unapita,unamchukulia kama dada mara mitego inaanza,mwishowe anakuambia anakutaka kimapenzi usiku halali kwaajili yako,utamega au utatoka nduki????
Ahahahahaaaaaah labda kwenye jamii aliyopo kashuhudia hayo mambo ndio maana analeta hapa yajadiliwe.hivi wewe topiki zako zikoje mara baba yako kampa mkeo ujauzito, mara mumeo bwabwa na hapa tena eti dada yako anakutaka mbona ueleweki na topiki zako za kufikiria vitu vya ajabu ajabu?? lete topiki za maana sio kufikiria vitu vya ajabu ajabu mwishowe utasema mama yako anakutaka
Hakuna haja ya kuhama nyumba...............kuna namna nyingi za kukwepa mitego kama hiyo.
Ahahahahaaaaaah labda kwenye jamii aliyopo kashuhudia hayo mambo ndio maana analeta hapa yajadiliwe.
hivi wewe topiki zako zikoje mara baba yako kampa mkeo ujauzito, mara mumeo bwabwa na hapa tena eti dada yako anakutaka mbona ueleweki na topiki zako za kufikiria vitu vya ajabu ajabu?? lete topiki za maana sio kufikiria vitu vya ajabu ajabu mwishowe utasema mama yako anakutaka
Fikiria umezaliwa peke yako kwenye familia,baadae dingi anakuletea binti home anakuambia ni dada yako alimpata kabla hajakutana na mama yako,muda unapita,unamchukulia kama dada mara mitego inaanza,mwishowe anakuambia anakutaka kimapenzi usiku halali kwaajili yako,utamega au utatoka nduki????
Kama ni mimi naangalia Figure yake kwanza, kama analipa nakula tu mzigo. kwani tutazima taa tutakuwa GIZANI.