Dada yangu ana jinsia mbili

pole sana mkuu sema wala usipanic sana chukuliakawada maana naamin hata yeye hilo lilimuumiza kichwa ikwezekana mara kumi zaid ya unavyojickia wewe now
 
Watu wahiv hawaolewagi.... Ukimuoa ipo siku ataku0719
 
Taa ilikuwa imewashwa na niliona kwa karibu sana ( CLOSE RANGE ) walikuwa wameangushana chini, so niliona kitu kila katika purukushani za kuamulia ugomvi


Govi likisimama inakua kama imetairiwa,pia ni ngumu mtu akawa yupo kwenye ugomvi huku uume umesimama,mechanism ya uume kusimama imejiegemeza kwenye blood pressure,sasa uwepo wa ugomvi tu ni tatizo katika kusimama kwa uume.
 
Nyie ni watu wa mkoa wa mbeya..!? Isije kuwa dada ako alirefushwa kinembe na kwa kuwa kipo kama uume basi hukitumia kusagana. Ww umeona kinembe ktk ubora wake na sio ombo.
 
Dah nmekutana na link ambayo inaelezea hili swala......jamaa alichosema ni kweli. Nimeona picha ambazo sidhani kama zinaruhusiwa kuwekwa hapa....nahata videos zipo...Kiushauri mleta mada hauna cha kufanya, mpende tu dada yako....hakupenda itokee hivyo.
Anachoweza kufanya yeye anajitambuaje kama ni man au female na kama fedha ipo achague kiungo kinachoendana na akili yake akafanye operation...nakama ana enjoy vyote muache afaidi utamu wa both worlds...
Kwa niivyoona sio kitu cha ajabu...wanasema kati ya watoto 1000 wanaozaliwa 1 yuko hivyo...anajinsia mbili, ingawa huko walikoendelea huwafanyia operation wakiwa wachanga lakini imeonekana ni tatizo...ni bora kuwaacha wakue na kuwafanyia wakiwa wakubwa na kuonyesha jinsia gani yupo strong na ku assign uume au uke

Mode hebu shauri kama naweza weka video ya mtoto mchanga mwenye condition...iliyojadiliwa; youtube
BABY WHO WAS BORN WITH TWO GENITALS
 
Jiulize!ukiwaza hali itabadilika?
Utafuta ulioyaona na kua ni ndoto?
Hukumzaa wala hujui kusudi la Mungu,hujui utamuathiri vip dada yako kama akijua unajua,anaweza kujiua utafurahi?jifunze kua na kifua,unafikiri wazazi wako hawajui?
 
Usiogope,
Hao watu mbona wapo wengi tuuu? Inategemea ni ipi inafanya kazi zaidi, ila kuna wakati inafikia, hiyo ya kiume ikakosa nguvu na kusinyaa ikabaki hiyo ya kike.
Cha kufanya, jitie nguvu siku moja umwendee dada, mwambie ulichoona kwani alijua kuwa weye ndiye uliamua ugomvi wake, halafu umwulize kwa utulivu mkuu. Huwa anawafanyaje hao wanawake?? Hata kama ni msagaji, akijua kuwa huna nia mbaya, atafunguka tu.
Kisha mtie moyo kuwa asikujali kuwa umemwona. Atakuwa muwazi zaidi kwako hata akipata tatizo
 
Hallow LIKUDI! This post stalk since May 2, 2013. Are you still searching for the best to implement proposal?
 
mbona mkuu unachelewa kutupa hiyo namba ya sista wako na sisi tujionee
 
Pole sana mkuu hao watu wpo wengi wao unakuta jinsia moja ni active nyingine siyo na wengine unakuta hana sehemu za siri ila ana pa kukojolea tu na unakuta ni mzuri ajabu nilishamshuhudia mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…