Dada yangu ana jinsia mbili

Taa ilikuwa imewashwa na niliona kwa karibu sana ( CLOSE RANGE ) walikuwa wameangushana chini, so niliona kitu kila katika purukushani za kuamulia ugomvi
MAJIDAI, dada yako bonge la rijali, yaani na makasheshe yote mtulinga bado unadai??????????
Au ndio alikuwa anataka kumbaka huyo binti?
 
Last edited by a moderator:
sikia nikwambie!
hakuna muda dadako anakuhitaji kama muda huu!
amejua umeshajua na unavyonyamaza unazidi kumweka pagumu!
\muonyese kuwa yu still love her!,she is still the same sister yu use to love,care an respect!\
kwa umri aliofikia huwezi kubadili lolote!
ni maumbile yake na hakika akuna kitu tunaweza fanya kubadili hilo!
zungumza nae!na umshauri nini afanye awe salama!maaana pamoja na tatizo lake bado anajiweka kwenye atari zaidi!pengine hata kudhalilishwa kijamii of which ni mbaya zaid!imagine hao wadada wakimtoa magazetini kuhusu ujinsia wake!
 
Unamaanisha walikuwa wanagombana uchi?

Ndio they were fighting..wawili ( my sister na yule dada wa kwanza were naked ) huyu mwingine hakuwa naked, it seems aliwakuta kwenye fragrante delicto ndo akaanzisha ugomvi
 

Vipi kuhusu suala la yeye kufunga ndoa na kuwa na familia? U know am the only male child in our family and think like i have to be my sister's keeper
 
Kazi ya Mungu haina makosa,
kosa ni huyo dada yako ameanza tena kuwagonganisha sijui niite wake zake au waume zake.
yote ni maisha lakini.
 
Vipi kuhusu suala la yeye kufunga ndoa na kuwa na familia? U know am the only male child in our family and think like i have to be my sister's keeper

hilo sio juu yako!
ni maisha yake!
na kumbuka tu kila mtu pamoja na wewe tuna maoungufu!
so kwa kweli muache aaamue la kufanya juu ya maisa yake!
ITS HER LIFE!
 
 
NIMENUKUU MANENO YAKO:
Habari zenu wana JF. Naomba kushare nanyi suala hili kuhusu dada yangu wa tumbo moja ambalo sikuwahi kulihisi, kulidhani wala kulijua kwa zaidi ya miaka 20. Kifupi mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 23 ( Natimiza miaka 24 mwezi Juni Arawakan huu ). Kwa sasa ninasoma mwaka wa mwisho katika chuo kikuu kimoja hapa nchini Tz .
Wewe ni msomi wa aina Gani??Nauliza?
Kijana jifunze kuwa na Tabia za kiume/kuficha Siri huu ni udhalilishaji
NAKUNUKUU TENA......
,dada yangu ( ni msomi/ ana masters/kazi nzuri na miradi mikubwa/hana mume, mtoto wala sijawahi kusikia chochote kuhusu kuwa na rafiki wa kiume yaani boyfriend )
>kama kweli dada yako ana sifa ulizozitaja hapo juu ni rahisi sana kupata hizi taarifa humu jamvini,,trust me
 
Kiukwel haya matatiz ya kigenetics yapo,..n wht she posses ur csta wazaz wako wanajua kabs. What i thought despite the fact ana organ zote za reprdction, but one cant function! So ni vzr mkae kifmilia mjadil all of dis..coz every one havng lust,!!!!
 
dada yako ni transvestite....its not a very common condition but you should know that she's not alone
the best you can do is talk to her and support her ukimya wako una muumiza!
 
Hiyo ndude uliyoona ndio hiyo pekee hana ya kike, yeye ni shemale. Ngojea hapo watakuelimisha.
 
Du huyo noma hafai kuwa shoga wa waifu anaweza akakusaidia kupendezesha penzi hivihivi!
 
Baada ya kusoma hii taarifa kutoka kwa mleta mada..nina Swali moja tu : Huyo Dada yako akiwa in public places huwa anatumia Choo cha Kike au cha Kiume?????
Maanake duuuuh atakuwa anafaidi sana huko vyooni na kwenye changing rooms ...maana huko wanawake huwa wanajiachia barabara.
 
hilo sio juu yako!
ni maisha yake!
na kumbuka tu kila mtu pamoja na wewe tuna maoungufu!
so kwa kweli muache aaamue la kufanya juu ya maisa yake!
ITS HER LIFE!
Nimekusoma kaka, simaanishi kumuingilia katika maisha yake but was just thinking any brother cud think about his sister..tusiseme tu every body has to mind his/her own bussiness , wakati mwingine we have to mind other people's biznez especialy when they are our beloved ones
 

Choo cha kike
 

Hata akizipata hakuna shida, as long as sijamtaja jina na wala simlaani, nieleta tu uzi huu hapa jamvini ili nipate na mawazo ya watu wengine coz a was a bit confusing its like siku ugundue baba ako mzazi analiwa 0713 or somethin...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…