duh! pombe noma.ulikunywa chupa ngapi?Sio toy kaka, matoy nayafahamu , kama ingekuwa ni toy si ningesema tu nimemkuta anasagana, but blv me, it was a real dushelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh! pombe noma.ulikunywa chupa ngapi?Sio toy kaka, matoy nayafahamu , kama ingekuwa ni toy si ningesema tu nimemkuta anasagana, but blv me, it was a real dushelele
Sio shemale kaka, yeye ni HUNTHA ama Hermophrodite..she male ni wanaume wanao fanyiwa operesheni, hata w ewe ukiamua, unaweza kuwa shemale just go to Bangkok or Brazil...
Nini kinafanya moyo wako ukuume? Wewe ungezaliwa hivyo ungefanyaje?
Sikia Majidai, wapo watu walioumbwa hivyo. Hata ukigugo shemale utawaona hatu wa jinsi hiyo. Huna sababu ya kuumia mpende tu dada yako ndivyo alivyoumbwa na wala si mkosi katika familia.
Zamani za mababu ilikuwa mtoto akizaliwa wa namna hiyo anauawa. Siku hizi wapo wengi tu.
Kwa sababu yeye kimuonekano ni mwanamke mrembo sana,Kuanzia, sura, umbo, matendo yake, suati nakadhalika, but ndio hivyo tena ana uume ( inaniuma sana kuwa na dada ambaye ni jike dume ), kwa jinsi alivyo ingependeza sana kama angeolewa na kuanzisha familia yake na kuleta heshima kwa familia yetu but ndo hivyo tena sidhani kama ataolewa