Dada yangu ana jinsia mbili

Dada yangu ana jinsia mbili

...ugomvi ulihusu nn? Kwa hiyo hapo kuna v2 vingi vya kukushauri, ikiwemo jinsi ya kumshauri sister aachane na usagaji pia usijal kila ki2 hupangwa na huwez kwepa na mungu alipanga ulifahamu hilo kwa njia hiyo, pili ilihali anaishi nakuomba achana na kuliwaza na maisha yasonge.

Ilikuwa ni wivu wa kimapenzi ( fumanizi )..Yeye sio msagaji , ni Huntha ( Yaani mwanamke aliye zaliwa akiwa na jinsia zote mbili ) so hata kumshauri kuacha ni kitu kisicho wezekana coz amezaliwa hivyo..Its just hard for me kukubaliana na ukweli huu mchungu
 
Nini kinafanya moyo wako ukuume? Wewe ungezaliwa hivyo ungefanyaje?

Sikia Majidai, wapo watu walioumbwa hivyo. Hata ukigugo shemale utawaona hatu wa jinsi hiyo. Huna sababu ya kuumia mpende tu dada yako ndivyo alivyoumbwa na wala si mkosi katika familia.

Zamani za mababu ilikuwa mtoto akizaliwa wa namna hiyo anauawa. Siku hizi wapo wengi tu.
 
Una bahati sana kuwa na dada unique,watumie namba walioimba pengine wanataka kugain new exprience ya kudo na jikedume.
 
Nini kinafanya moyo wako ukuume? Wewe ungezaliwa hivyo ungefanyaje?

Sikia Majidai, wapo watu walioumbwa hivyo. Hata ukigugo shemale utawaona hatu wa jinsi hiyo. Huna sababu ya kuumia mpende tu dada yako ndivyo alivyoumbwa na wala si mkosi katika familia.

Zamani za mababu ilikuwa mtoto akizaliwa wa namna hiyo anauawa. Siku hizi wapo wengi tu.

Hao shemales ni wanaume waliojifanyia cosmetic surgery kuwa na makalio, sura na suati ya kike.But she was born that way
 
Hii imekaa kama hadithi. Mara kavaa kondom, mara hajatahiriwa. Hizi ni simulizi wandugu
 
Hao shemales ni wanaume waliojifanyia cosmetic surgery kuwa na makalio, sura na suati ya kike.But she was born that way

Sawa wapo wengi waliozaliwa hivyo. Nakumbuka kuna mwalimu mmoja wa kike alikuwa akifundisha shule moja ya msingi huko Kibaha alimpa mwanafunzi mimba na alipotajwa kila mtu alishangaa iweje mwanamke ampe mtu mimba! Kwa hiyo usishangae dada yako kuwa hivyo, sioni sababu ya wewe kuumia.
 
Habari zenu wana JF. Naomba kushare nanyi suala hili kuhusu dada yangu wa tumbo moja ambalo sikuwahi kulihisi, kulidhani wala kulijua kwa zaidi ya miaka 20. Kifupi mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 23 ( Natimiza miaka 24 mwezi Juni mwaka huu ). Kwa sasa ninasoma mwaka wa mwisho katika chuo kikuu kimoja hapa nchini Tz .

Kwetu tumezaliwa watatu dada zangu wawili, wa kwanza alizaliwa miaka ya sabini ( R.I.P ) na huyu wa pili ambaye ndie point of discussion, alizaliwa mwanzoni kabisa mwa miaka ya 1980. Ngoja niende moja kwa moja kwenye point, siku ya jumamosi iliyopita ( tarehe 27 APRILI 2013 ) saa nne kamili za asubuhi nilienda kumtembelea dada yangu ( ni msomi/ ana masters/kazi nzuri na miradi mikubwa/hana mume, mtoto wala sijawahi kusikia chochote kuhusu kuwa na rafiki wa kiume yaani boyfriend )...Nilienda pale kwa ajili ya kupiga mzinga kidogo na nilipanga kurudi hosteli ambako ninaishi siku iliyokuwa inafuata yani jumapili.

Mida ya saa sita mchana, aliwasili mdada mmoja ambaye ninamjua kama rafiki wa karibu wa dada yangu, tulisalimia kisha dada akaja kumpokea mgeni wake kisha wakaelekea ukumbini, baadaye nikarudi zangu chumbani kwangu na kuendelea kucheza na laptop yangu. Yalipita kama masaa mawili hivi mdada mwingine aliwasili nyumbani na kuingia moja kwa moja chumbani kwa sista ( sikujua kilichokuwa kinaendelea coz wakati huo nilikuwa chumbani, ila nilikuja kujua baadaye kwamba kuna mdada mwingine alikuja nyumbani pale ).

Nilikuja kustushwa baadaye na kelele za ugomvi mkubwa sana, zikitoka chumbani kwa dada yangu ambako nilisikia kelele, na matusi mazito yakiporomoshwa, vilio na chupa zikivunjwa vunjwa hovyo, sikuwa na jinsi nikaamua kukimbilia upande kilipo chumba cha dada yangu kutoa msaada. Kufika sikuamini kilicho tokea, nilimkuta dada yangu na yule dada mwingine ambaye nilikuwa namjua kama rafiki yake wakiwa kama walivyo zaliwa, wamelewa wanagombana na huyu mdada mwingine aliyekuja wakati mimi nimo ndani, huyu dada mwingine alikuwa anamshambulia yule dada aliyekuja mara ya kwanza na dada yangu alikuwa anajaribu kumzuia..

Kilicho nishangaza zaidi kuhusu dada yangu ni kwamba ana uume ( tena mkubwa tu kama uume wa mwanaume rijali, umesimama barabara na umevalishwa kinga ), mwanzoni nilidhani labda amevaa midoli lakini haikuwa hivyo, nii uume kabisa ( ambao haujatahirwa lakini ).. Nilicho kifanya ni kumtoa yule dada aliyekuja mwishoni hadi nje kisha nikarudi zangu chumbani kwangu....

Sikufanikiwa kuongea na dada yangu usiku huo hadi kesho yake but sikuongea chochote kuhusu kilicho tokea jana yake though aliniomba radhi kwa kilicho tokea but hatukuzungumzia kabisa kuhusu suala la yeye kuwa na jinsia mbili..Kusema ukweli suala hili linanikosesha sana raha na i dont know how will i cope with it.sitaongea na yoyote wala sitawauliza wazazi wangu but picha hii nitakaa nayo kwa muda mrefu sana, simuoni tena dada yangu kama nilivyo kuwa naumona before..

NAOMBA KUWAULIZA , HIVI HILI NI SUALA LA KAWAIDA KWELI KWA MWANAMKE KUWA NA JINSI MBILI NA ZOTE ZIKAWA ZINAFANYA KAZI ! AU NI KWA DADA YANGU TU? NAHISI LIKE ITS A KIND OF BADLUCK TO OUR FAMILY..PLEASE NIPENI USHAURI WENU

Sasa huyo ni kaka yako!
 
Kujua kwamba dada yangu ni huntha

Aibu yake aibu yako, umeileta hapa Jf, then what next, ni utoto huo, wakubwa zako (Babako na mamako) wanajua wamekauka, wewe shida yako ni ipi? au unaona wivu anatumika na kutumia vyote! Kwa nini unaumiza kichwa chako kwa faragha za ndugu yako?
 
Naona dada ako ana nyuki mbili ya kiume ndo inayo fanya kazi.
 
Back
Top Bottom