Waungwana wanaJF. Kama miongoni mwenu kuna anaetafuta mke basi ani PM wasifa wa dada yangu .miaka 30 mwembamba wa kati, dini ni mkristo elimu shahada ya kwanza.mume amtakae wasifu wake awe mkristo na anaemwongopa Mungu, elimu kidato cha sita,asanteni kwa hekima zenu wanajf
Waungwana wanaJF. Kama miongoni mwenu kuna anaetafuta mke basi ani PM wasifa wa dada yangu .miaka 30 mwembamba wa kati, dini ni mkristo elimu shahada ya kwanza.mume amtakae wasifu wake awe mkristo na anaemwongopa Mungu, elimu kidato cha sita,asanteni kwa hekima zenu wanajf
kwa vigezo hivyo ndio maana hupati/hapati mume. Iweje wewe una shahada kisha unataka mumeo awe kidato cha sita? Kwanini na yeye asiwe na shahada? Kama kweli yeye/wewe a/una mwogopa Mungu mbona hufuati maandiko yake? Maandiko yanasema mwanamume ndiye atakuwa kichwa cha nyumba. Kwa mtazamo huo inamaana wewe ndio unataka kuwa kichwa cha nyumba. Hiyo nyumba lazima itapasuka muda mfupi baada ya honey moon. Tumezishuhudia ndoa za hivyo nyingi tu. Kama hutaki mume kuwa kichwa cha nyumba jaribu single parenting. Ni mtazamo wangu tu kama mzee wa kanisaWaungwana wanaJF. Kama miongoni mwenu kuna anaetafuta mke basi ani PM wasifa wa dada yangu .miaka 30 mwembamba wa kati, dini ni mkristo elimu shahada ya kwanza.mume
amtakae wasifu wake awe mkristo na anaemwongopa Mungu, elimu kidato cha sita,asanteni kwa hekima zenu wanajf
ukifumba macho mbona unaweza mkuu!unawezaje kuzungumza na dada yakona kukubaliana 'umtafutie' mume?wengine mbona hatuwezi?????
Ww Hutafuti mume? au tayari unaye?Waungwana wanaJF. Kama miongoni mwenu kuna anaetafuta mke basi ani PM wasifa wa dada yangu .miaka 30 mwembamba wa kati, dini ni mkristo elimu shahada ya kwanza.mume amtakae wasifu wake awe mkristo na anaemwongopa Mungu, elimu kidato cha sita,asanteni kwa hekima zenu wanajf