Dada yangu anatishia kujiua, nishaurini tafadhari

Ungekuwa na nia ya dhati ya kukaa na huyo mtoto si dhani kama ungeshindwa hata kama yeye angemtaka.
 
Nasisitizaem zero,mwenye nia9777dhatimber: yenu2anayetaka kikubwa bihuyokili ni hasara kwa miguu yako. Kama huna cha kuchangia ungekaa kimya tu wala kisingeharibika kitu. Acha kujichoresha kwa upumbavu wako mtu mzima hovyooi[/QUOTE]
Nasisitiza hakuna mwenye nia ya dhati kati yenu anayetaka kumsaidia huyo mtoto.
 
Kichwa kikubwa bila akili ni hasara kwa miguu yako. Kama huna cha kuchangia ungekaa kimya tu wala kisingeharibika kitu. Acha kujichoresha kwa upumbavu wako mtu mzima hovyooi
Watu wanakaa na watoto waliozaliwa na vichaa na hao vichaa kila siku wanawadai watoto wao bado wanakomaa sembuse huyo ndugu yenu anayetishia kumuua mtoto.
 
Hana maumivu yoyote huyo mleta mada, kama angekuwa nayo kuna juhudi za awali angechukua kumsaidia ndugu yake kabla yakuomba ushauri. Wote wanakwepa majukumu.
Hivi mpaka mtu kaamua kuomba ushauri ina maana kuna njia kajaribu zimeshindikana, msaada wa karibu hakuna. Je nimbebe mgongoni ndo utaelewa? Ndo maana nikasema naomba ushauri ina maana uwezo wangu wa kufikiri umefika mwisho hivyo nahitaji mawazo ya watu wengine ili nifike mwisho. Fikiri kwa makini kabla hujaongea ili kulinda heshima yako.
 
Kwenu wote mna roho mbaya kwa maelezo yako hayaonyeshi kama kunajuhudi zozote mmefanya za kumsaidia mtoto na huyo ndugu yenu.
Watoto katika familia ni sawa na vidole vya mikononi. Vidole vina shepu tofauti tofauti hivyo hata watoto pia kitabia hawawezi kufanana hivyo usilazimishe tufanane. Tuache na roho mbaya yetu we mwenye roho nzuri endelea na mambo yako
 
Ikiwezekana mtoto mbebe mgongoni, aiwezekani mtoto atishiwe maisha na mama yake then anakuja kwako kumchukua mtoto huyohuyo na wewe kwa akili yako unamkabidhi!!.
 
Asante kwa ushauri wako
 
Huu ndio undugu,kumpenda ndugu yako hta kama anashida nyingi au tabia mbaya kias gani
 
Watoto katika familia ni sawa na vidole vya mikononi. Vidole vina shepu tofauti tofauti hivyo hata watoto pia kitabia hawawezi kufanana hivyo usilazimishe tufanane. Tuache na roho mbaya yetu we mwenye roho nzuri endelea na mambo yako
Ukweli ndio huo ndio maana dada yenu anaona afadhari afe pamoja na mtoto wake mana anawajua kwamba hamuwezi kumsaidia mtoto wake akimuacha. Mna matatizo mpaka huyo dada yenu anajua.
 
Tanzania inadaiwa Trilion 50+ na hawaja tishia kujiuwa!

Sasa huyo dada yako anadaiwa Milion 10 anachanganikiwa kiasi hicho!

Magufuli kabana hadi raia haijielewi

Isitoshe. Hilo deni la benki watakuwa wanamkata direct kwenye mshahara. Issue ni vi madeni vya mtaani.
 
Huu ndio undugu,kumpenda ndugu yako hta kama anashida nyingi au tabia mbaya kias gani
Hawana upendo hao ndio mana dada yao pamoja na matatizo aliyonayo anataka afe na mtoto wake anajua akimuacha atapata shida. Nawashauri wabadilike.
 
😛. dawa yake ndogooo sana,/ kasi ya maisha ya wengine inamchanganya,then hapati mshauri wa karibu, ANGENIFAA KWELI.
 

Kwa kuanzia, peleka ripoti polisi haraka sana, halafu peleka ripoti ustawi wa jamii.

Nenda kaongee na Psychiatrist kwenye hospitali yenye wodi ya kuwalaza wenye matatizo ya akili ili mumkamate na kumpeleka hapo azuiliwe kwa muda akipatiwa matibabu ya kitaalam.

Tumuombee kwa Allah amsaidie kumuondoshea na kumuongoza katika njia zenye heri.
 
Ushauri mchukueni huyo mtoto make naye mumpe huduma. Yeye mwacheni maana yaonesha hana akili timamu, siku zikirudi atajua tu cha kufanya. Maana hii hadithi kama sio ya kutunga, kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…