Dada yangu anaumwa ugonjwa wa ajabu!

Hajaenda. Nilipatabkujua hali hiyo jana nilipoongea nae kwenye simu na nimemshauri afanye hivyo mara moja. Anasema amekuwa akienda kwenye maombi na hapati nafuu!
Muwahishe hospitalini harakaa!! Achana na kitu wakiitacho maombi kwenye magonjwa!
 
sijawahi skia ugonjwa kama huo, 1.yawezekana ni ugonjwa mpya usiojulikana au 2. Yawezekana karogwa ushauri wangu, 1. AENDE HOSPITALI ZA MAANA HARAKA IWEZEKANAVYO 2. AMWOMBE MUNGU SANA.
 
Achichichichichichichi chiiiiiiiii!!!! Hiyo dawa kiboko.
 

Umefahamu vipi ni vidonda vya tumbo??
 
Hajaenda. Nilipatabkujua hali hiyo jana nilipoongea nae kwenye simu na nimemshauri afanye hivyo mara moja. Anasema amekuwa akienda kwenye maombi na hapati nafuu!
Kwa ushauri, nenda kamchuke uende nae hospitali. Kama yuko mbali na wewe, mshauri aende hospitali.
 

Jf kuna mambo mtoa maada mada kaomba msaada wa dokta kaja MUUAJI.lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…