Olumolongez
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 818
- 299
Itabidi avae helmet aka kofia ngumunajiuliza wakati wa kulala sijuia atafanyaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi avae helmet aka kofia ngumunajiuliza wakati wa kulala sijuia atafanyaje
Mambo mengine tukubali yatupite tuYaani huyu wakati wa kulala itabidi avae helmet ili nywele zisivurugike, hapo ni kulala tu, sijui wakati wa kulalwa itakuaje na kma yupo Dar na joto hili basi kazi kweli kweli.
Huo mzigo kichwani kwangu hapana aise
Waaala sina wivu mieNi kwa sababu hauna nywele za asili kama zake, wacha wivu.
hahaaa....nahisi atakua anatoa na zile sauti za yule myama aliyegoma kwenda.Mmhh sasa hivyo alivyosuka wakati wa Showtime's anakaaje ili asiharibu nywele..maana wenginde ata akikaa ule mkao pendwa wa yule mnyama kagoma lazima washikilie hizo nywele kama kamba za farasi ili kuongeza speed
Waaala sina wivu mie
Teh sio kila kitu ni wivu banaMwanamke asiyemuonea mwanamke mwenzie wivu? Hii kali sana, basi ngoja nikutafute nikupe offer, I like your thinking.
ThanksI love your sarcasm. You rock.