Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
acheni uzandiki wenu gadna ni takatakaNimeanza kuona kuwa heshima ya Jd ilitengenezwa na Gadner maana muda unavyozidi kwenda ndo naona graph ya heshima yake aliyojijengea inazidi kushuka ...
Mungu amsaidie kwa maana siwezi jua ni magumu yapi anapitia
gadna ana watoto wangapi?Alisema kuwa Gadna anakojoa upepo. Sasa na huyu mwanaume mpya, mbona kashindwa kumjaza mimba?
Mbona una hasira sana?za Ruge peke yake mbiliUlimtoa wewe.... Chinga mdomo wako kwa manufaa ya kizazi chako
Basi utakuwa ruge wewe. Sawa.Mbona una hasira sana?za Ruge peke yake mbili
Hapana mie ni GardnerBasi utakuwa ruge wewe. Sawa.
Mbona una hasira sana?za Ruge peke yake mbili
Basi utakuwa ruge wewe. Sawa.
Hapana mie ni Gardner
Anaye binti now ni mkubwaHuyo Gadna ana mtoto hata wa kusingiziwa?
Huo tunauita ni UNAAA kwa mtt wa kiume ww ulitaka amjibu vp labdaView attachment 699566View attachment 699567Napata wasiwasi sana juu ya majibu ya huyu mwanadada ambaye alikuwa ni mfano wa kuigwa.
Yameisha... Sikujua nabishana na mwenye mke. Pole[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Jamani basi yaishe. Mmenichekesha pasipo kutaka kucheka
kabisaMbona kamjibu poa huyo kidudumtu..
Jide kama mtabiri vile. Alichosema na ndio mleta mada alichofanya.
Kuchukua screenshot ya jibu lake ....