Dada yangu mzuri ila jeuri, ana uwezo, umri umeenda nataka nimuunganishie mwanaume wa kumdhibiti

Dada yangu mzuri ila jeuri, ana uwezo, umri umeenda nataka nimuunganishie mwanaume wa kumdhibiti

Kuna sister tupo naye ktk family inashangaza sana. Ni mzuri ana kazi na anaishi kwake. Si malaya ila nmemsoma anahitaji mwanaume mbabe na mwenye kujiamini. Aliwahi kuwa na mwanaume mmoja ambaye alimpenda sana after sometime akaja kuniambia yule mwanaume amepoa sana. Si mwanaume wa kiafrika. Cool mpaka anaboa akamwacha.

Nmeangalia angalia humu ndani mmeona kuna jamaa anaitwa GuDume nani anamfaha huyu jamaa? Ili nimuunganishe na sister ikiwezekana amzalishe tu ili dada aache dharau kwa wanaume.

Mwenye kufahamiana na gudume au mwenye kumfahami naomba details zake. Sitaki ajielezee yeye mwenyewe maana anaweza kuweka na masala kwenye chai yake. Naomba kwa anayemfahamu gudume anipe faili lake.

Lakini kama kuna mwanaume mwingine ngangari aweke hapa details zake na ushahidi. Huyu sister hapend love stories na utozi. Ni lidada lizuri ila amekua na sisi wanaume watano wa kike peke yake.

So anapenda ubabe flani hivi na anajiamini sana ila akichimbwa biti kali anaogopa. Mi mwaka jana tu nilimchapa kibao.

Nilishangaa alikuja kuniomba msamaha baadaye na kusema anajisikia raha amepata kaka wa nguvu. Dume hasa. Nikakumbuka stories za gudume.
GuDume acha ujanja ujanja...
 
kuna jamaa mmoja fala. nimempa namba kampigie kaulizwa namba umetoa wapi kasema "nimepewa na kaka yako" kuna majamaa yana akili fupi sana. mkikaa humu mnajifanya wanaume kumbe ni hovyo tu. sitoi tena namba .kwa aliye serious namfanyia interview namwelekeza ofisin kwa sister. yeye mwenyewe aende akajinadi.pumbavu kabisa... mtu unampa namba anaulizwa maswali anajikuta anasema hata siri za huku. sister kaniuliza nimemwambia sijawah mpa namba yake mtu yeyote of course kaniamini. watoto wadogo kiakili piteni mbali na huu uzi.
Kuna watu ng'ombe kwel,hata kujiongeza suala dogo hawez jaman??
 
Wanaume wote mnatabiaa sawaa wew subri apate mwenyww mwanaume ambaye yy anaonaa ni sahihi waliobaki ni man sio mareal man 😂
 
Kuna sister tupo naye ktk family inashangaza sana. Ni mzuri ana kazi na anaishi kwake. Si malaya ila nmemsoma anahitaji mwanaume mbabe na mwenye kujiamini. Aliwahi kuwa na mwanaume mmoja ambaye alimpenda sana after sometime akaja kuniambia yule mwanaume amepoa sana. Si mwanaume wa kiafrika. Cool mpaka anaboa akamwacha.

Nmeangalia angalia humu ndani mmeona kuna jamaa anaitwa GuDume nani anamfaha huyu jamaa? Ili nimuunganishe na sister ikiwezekana amzalishe tu ili dada aache dharau kwa wanaume.

Mwenye kufahamiana na gudume au mwenye kumfahami naomba details zake. Sitaki ajielezee yeye mwenyewe maana anaweza kuweka na masala kwenye chai yake. Naomba kwa anayemfahamu gudume anipe faili lake.

Lakini kama kuna mwanaume mwingine ngangari aweke hapa details zake na ushahidi. Huyu sister hapend love stories na utozi. Ni lidada lizuri ila amekua na sisi wanaume watano wa kike peke yake.

So anapenda ubabe flani hivi na anajiamini sana ila akichimbwa biti kali anaogopa. Mi mwaka jana tu nilimchapa kibao.

Nilishangaa alikuja kuniomba msamaha baadaye na kusema anajisikia raha amepata kaka wa nguvu. Dume hasa. Nikakumbuka stories za gudume.
Mtafutie m23 mmoja.au mhouth
 
Back
Top Bottom