Kama ameshamegwa mi namshauri achukue mkoko familia yake inufaike na matunda ya mama kuchojolewa.
Hainiingii kichwani kafanyiwa yooooote hayo halafu hajawahi kuvua ch'upi. Mi naona kinachomsumbua hapo ni kuwa akilikubali hilo gari atamwambia nini mumewe?
huo ndio mwanzo wa kasheshe dearest, coz huyo boc atataka kummilliki mdada kama wake vile, na ni ishara mdada nae alikuwa tayari kumkubali huyo boc akicndikizwa na tamaa zake.
Bht, hapa ali-accept mkwanja (green pasture).uzuri ni kwamba mtu akiwa na ile nia ile utamjua tu, na huyu mwanamke asokuwa na haya aliyaona haya yote and she voluntarily accepted this nonsense!!!
Bht, hapa ali-accept mkwanja (green pasture).
Amwambie boss wake kilichompeleka kazini ni ajira na sio starehe kinachofatia hapo ni kuanza kumsaliti mmewe !
Ila dada yako anaonekana sitaki nataka
Bht, hapa ali-accept mkwanja (green pasture).
too late mami.
Jamani mke kidonda, nadhani huyo jamaa bado hajajua chungu ya Mke!! mimi ningemchoma live na PETROL
Hawezi kupata vyote.
ooh she was hunting eeh!!???
dah hii kitu imenichefua sana......umeolewa na mna watoto. sasa mkianza mtafaruku jamani hao malaika wasio na kosa ndo watabeba msalaba wa dhambi zenu!!!! deyyyyyyyyyyyyyyyyyym!!!!
we mleta mada, sasa huyo shemeji yetu naye kalipokeaje hilo gari? (am just curious nijue reaction yake)
... Hivi mtu anaweza kutoa gari la bure bure hivi jamani?? siamini!!
Wapo ndugu yangu tena wamejaa tele!
Nilishawahi kutoa wito tuwaombeeni wanandoa! Hapa ni mahali ambapo si rahisi kuchomoka kama una roho nyepesi!
Mwanamke mjasiriamali mmoja yeye walikutana na jamaa kwenye ndege wakitokea China; basi zikaanza favor za kumsaidia kuclear na nn; favor zimekuwa na baadaye akajifanya kuwa anataka kuwekeza kwenye biashara hiyo akaongezea mtaji mkubwa na maduka yakaongezwa mpaka mikoani na mwisho akanunuliwa na gari kama huyu na hapo mtu akawa kishanunuliwa mzima mzima; alipokuja kuchotwa wala hakupinga na hiyo ndoa imeshasambaratika siku nyingi na kumuacha Mume akikimbilia nje kusoma ili kukwepa macho ya watu!
Inasikitisha lkn hayo yapo na kama huamini naomba usiwe kama Tomaso!
Wapo ndugu yangu tena wamejaa tele!
Nilishawahi kutoa wito tuwaombeeni wanandoa! Hapa ni mahali ambapo si rahisi kuchomoka kama una roho nyepesi!
Mwanamke mjasiriamali mmoja yeye walikutana na jamaa kwenye ndege wakitokea China; basi zikaanza favor za kumsaidia kuclear na nn; favor zimekuwa na baadaye akajifanya kuwa anataka kuwekeza kwenye biashara hiyo akaongezea mtaji mkubwa na maduka yakaongezwa mpaka mikoani na mwisho akanunuliwa na gari kama huyu na hapo mtu akawa kishanunuliwa mzima mzima; alipokuja kuchotwa wala hakupinga na hiyo ndoa imeshasambaratika siku nyingi na kumuacha Mume akikimbilia nje kusoma ili kukwepa macho ya watu!
Inasikitisha lkn hayo yapo na kama huamini naomba usiwe kama Tomaso!
Wapo ndugu yangu tena wamejaa tele!
Nilishawahi kutoa wito tuwaombeeni wanandoa! Hapa ni mahali ambapo si rahisi kuchomoka kama una roho nyepesi!
Mwanamke mjasiriamali mmoja yeye walikutana na jamaa kwenye ndege wakitokea China; basi zikaanza favor za kumsaidia kuclear na nn; favor zimekuwa na baadaye akajifanya kuwa anataka kuwekeza kwenye biashara hiyo akaongezea mtaji mkubwa na maduka yakaongezwa mpaka mikoani na mwisho akanunuliwa na gari kama huyu na hapo mtu akawa kishanunuliwa mzima mzima; alipokuja kuchotwa wala hakupinga na hiyo ndoa imeshasambaratika siku nyingi na kumuacha Mume akikimbilia nje kusoma ili kukwepa macho ya watu!
Inasikitisha lkn hayo yapo na kama huamini naomba usiwe kama Tomaso!
Hebu nipeni contract nimfungie kazi huyo Mbwa mwitu! Haki ya nani nitamnyoa bila kutia maji!:angry: