Ungekuwa huna uwezo wa kuwa na lako usingelikubali?
Hayo mambo ya kawaida hapa Dar! Mkeo ananunuliwa gari anakwambia nimekopa SACCOS na nimedunduliza hela ya safari kumbe ni chakula ya Ma-director! Na kwakweli wanawala wake za watu kwa kwenda mbele - kubali au kataa - ni shauri yako! Nawafahamu wengi sana na mara nyingi sana ninakutana nao (Ma-Director na wake za watu). Zunguuka baa za uswahilini na uone kinachoendelea. Unadhani haya magari yaliyojaa mjini yanatoka wapi ? - Ujasiliamali kweli - all of a sudden mji umefurika magari - 40% ni ya kuhongwa
Kwa Tanzania UKIMWI utaisha kwa NEEMA za MUNGU tu - Ni mfumo wa maisha na unatumaliza indeed!
Amani iwe kwenu
Umeonaaaeeee!!
Anywayz......kama ingekuwa mwanaume ndo anahongwa na boss mwanamke ingekuwaje? Tehe tehe
Mi gari ningechukua, safari ningekwenda na shughuli nampa ya maana Tu......then naomba TiGo au nalazimishia. Akigoma namwambia basi bana....mi huko ndo napapenda zaidi coz huku mbele hata my wifey anayo na nitamu sana Tu.
Umeonaaaeeee!!
Anywayz......kama ingekuwa mwanaume ndo anahongwa na boss mwanamke ingekuwaje? Tehe tehe
Mi gari ningechukua, safari ningekwenda na shughuli nampa ya maana Tu......then naomba TiGo au nalazimishia. Akigoma namwambia basi bana....mi huko ndo napapenda zaidi coz huku mbele hata my wifey anayo na nitamu sana Tu.
Akikupa??
Unaweza kukuta ye ndo anapenda zaidi yako na alikuwa anaona haya tu kukuanza
We baba askofu wa kanisa gani?
Yaani unapewa dhahabu ukatae?
Mh!!:confused2:
Jamani, hata ukiangalia hiki kitu sio cha siku moja wala mbili, it has been going like that for months/years... na kwa mtazamo wangu hafifu (sio 20/20) huyo bosi tayari ana mahusiano na huyo sis wako... Hivi mtu anaweza kutoa gari la bure bure hivi jamani?? siamini!!
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.Xpin...:angry:
Umeonaaaeeee!!
Anywayz......kama ingekuwa mwanaume ndo anahongwa na boss mwanamke ingekuwaje? Tehe tehe
Mi gari ningechukua, safari ningekwenda na shughuli nampa ya maana Tu......then naomba TiGo au nalazimishia. Akigoma namwambia basi bana....mi huko ndo napapenda zaidi coz huku mbele hata my wifey anayo na nitamu sana Tu.
Yes:angry::angry: Nionyeshe mfano kwa jamii husika kidogo! Just imagine ni weye Baba Askofu!
Ni jana tu kanisimulia alianza kwa kumpa safari za kila mara, akamuongezea bonus zake, short cause kwake hazikauki dada akawa haelewi kuna nini. Mwisho wa yote akamtamkia live na akamwambia anampenda na wala acwe na haraka yakujibu aende akafikiri akiwa tayari atamuambia jana akanunuliwa gari na amekabidhiwa ufunguo na kadi yake, dada yangu ameolewa na ana familia nzuri ya watoto 2 na mume wake anafanya kazi ya kwaida tu ya kuajiliwa ktk kampuni binafsi, ila kwa muda mfupi maisha yamependeza. wana JF nisaidie nimshauri vp? huyu dada yangu? yuko njia panda ndoa anaipenda na anampenda mume wake ila boss anawawezesha
Hayo mambo ya kawaida hapa Dar! Mkeo ananunuliwa gari anakwambia nimekopa SACCOS na nimedunduliza hela ya safari kumbe ni chakula ya Ma-director! Na kwakweli wanawala wake za watu kwa kwenda mbele - kubali au kataa - ni shauri yako! Nawafahamu wengi sana na mara nyingi sana ninakutana nao (Ma-Director na wake za watu). Zunguuka baa za uswahilini na uone kinachoendelea. Unadhani haya magari yaliyojaa mjini yanatoka wapi ? - Ujasiliamali kweli - all of a sudden mji umefurika magari - 40% ni ya kuhongwa
Kwa Tanzania UKIMWI utaisha kwa NEEMA za MUNGU tu - Ni mfumo wa maisha na unatumaliza indeed!
Amani iwe kwenu
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.
Ninatubu kwa Mungu na kwako Baba askofu.
Sasa nawee yule mhudumu pale MARANGU NIGHT PARK amekukamata mpaka unaibuka mida hii sredi inaelekea ukingoni?
Anyway: Mi naomba Mungu nipate bahati ya kulipata jimama lenye mipesa linihonge migari ya kufa mtu. Mi nakatika na lenyewe linakata. Ngoma droo, maisha mafupi lakini matamu yanasonga mbele.