Dada yangu na boss wake

Ungekuwa huna uwezo wa kuwa na lako usingelikubali?

Umeonaaaeeee!!

Anywayz......kama ingekuwa mwanaume ndo anahongwa na boss mwanamke ingekuwaje? Tehe tehe
Mi gari ningechukua, safari ningekwenda na shughuli nampa ya maana Tu......then naomba TiGo au nalazimishia. Akigoma namwambia basi bana....mi huko ndo napapenda zaidi coz huku mbele hata my wifey anayo na nitamu sana Tu.
 

Kwani hawa waume zao hawawezi kuwanunulia yaho magari??

Kweli hizi ni siku za mwisho
 

Sasa nawee yule mhudumu pale MARANGU NIGHT PARK amekukamata mpaka unaibuka mida hii sredi inaelekea ukingoni?

Anyway: Mi naomba Mungu nipate bahati ya kulipata jimama lenye mipesa linihonge migari ya kufa mtu. Mi nakatika na lenyewe linakata. Ngoma droo, maisha mafupi lakini matamu yanasonga mbele.
 

Akikupa??

Unaweza kukuta ye ndo anapenda zaidi yako na alikuwa anaona haya tu kukuanza
 

Akili yako inafanya kazi vizuri sana, BOSS kishajidai katika maeneo ya 18 na sasa anafanya mavitu yake ili kumdhibiti mtoto vizuri. Unanunuliwa gari na kukabidhiwa funguo na mwanaume mwingine hujui ufanye nini na inabidi uombe ushauri kwa watu wengine? Ndoa imeshaingia doa.
 
Uwezekano mkubwa tayari wana mahusiano ya ngono sasa yamefika mbali hata kupewa gari na si ajabu shemejio kashashtuka ndio maada ccta yako anatafuta kuonewa huruma kwa yatakayompata. Cha kumshauri ni kwamba aache mara moja hayo mahusiano na hata kama ni kazzi apoteze. Kwa kumsaidia zaidi mfuate huyo boc wake mweleze issue imefika kwa mwenye mali na aachane mara moja na mke wa watu.
 
Kwa kweli kama dada yako amepokea hilo gari kafanya makosa.Hata hivyo,vitu alivyopewa kabla jamaa hajamtamkia intention yake kwake havina noma.Issue ni kama ameendelea kumuendekeza huyo boss hata baada ya kumjua anachokitaka

Ningemshauri tu aache tamaa.Hata kama ataaachana na mume wake,still maisha yake yatakuwa yameharibika.vipi maslahi ya watoto?Na haoni kuwa anajitafutia matatizo makubwa kimaisha kwa kujiingiza kwenye uhusiano nje ya ndoa?

Mwambie dada yako amtamkie waziwazi kuwa anashukuru kupendwa lakini ana ndoa yake anayoijali sana,na zaidi ya yote ana watoto ambao amezaa ndani ya ndoa.kwa hiyo kama huyo Boss ni mstaarabu hataendelea tena kumsumbua
 

Kamanda igeuze scenario ya hii kuwa ni mkeo!

Unajisikia inavyonoga utamu wakee eeh?:angry:
 


Hapo kwenye Red ndiyo mambo yote yako hapo.
 
Achukue Gari kisha amwambie jamaa kuwa YATOSHA SASA
 

I wish this wasnt the fact....................
 
Nashukuruni kwa ushuri wenu wana JF ila kuhusu kutembea naye au kuwa na uhusiano naye hakuniambia yeye kasema anamtaka ndo mana anatoa marupurupu yote hayo labda ameweka kapuni ila nita mfikishia ushauri woote nilioupata hapa nawashukuruni sana japo me mdogo kwake lkn kwa ushauri huu nilioupata hapa i hope atanisikiliza tu
 


chris jamani unakatisha tamaa, nwy ngoja tu ninyamaze mana tukianza kulumbana hapa tutakesha.
 
Mr man, Ben na Mchili I conquer with you!

Baba Askofu watu wameacha kumwogopa Mungu wacha tuwachape Bakora kidogo wajue kuwa yupo Mungu juu ya wanadamu; Masihi aliwafukuza si ajabu na kuwachapa wafanyabiashara hekaluni.

Contract ya kwanza kwa Boss ni kumuwinda my wife yake! ya pili kumpa kisago cha mbwa mwizi kimya kimya; maana dada bado tunamtaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…