chris jamani unakatisha tamaa, nwy ngoja tu ninyamaze mana tukianza kulumbana hapa tutakesha.
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.
Ninatubu kwa Mungu na kwako Baba askofu.
Hapa Naina kama pasaka ulido ze needful.....mi sikumbuki haya maneno ya kumunyo ya kwanza Bana.
Ile mashine ya fide bana.....mi napelekaga salamu tu. Watu weweee Marangu bana.
Kule wamekabania, kamata kwa hapa:Mr man, Ben na Mchili I conquer with you!
Baba Askofu watu wameacha kumwogopa Mungu wacha tuwachape Bakora kidogo wajue kuwa yupo Mungu juu ya wanadamu; Masihi aliwafukuza si ajabu na kuwachapa wafanyabiashara hekaluni.
Contract ya kwanza kwa Boss ni kumuwinda my wife yake! ya pili kumpa kisago cha mbwa mwizi kimya kimya; maana dada bado tunamtaka
Hahaha! Natembea na Misale ya Waumini. Nikifogeti kalirtujia naikonsalti as suun as posibo. Nasikia pale Marangu ukiongea kiromboo unapewa nyoneza ya mbavu kazaa.... Hahahaha!Hapa Naina kama pasaka ulido ze needful.....mi sikumbuki haya maneno ya kumunyo ya kwanza Bana.
Ile mashine ya fide bana.....mi napelekaga salamu tu. Watu weweee Marangu bana.
Maisha haya mafupi afu upate opochuniti kama hizo afu niziache nichekwe? Mbona kina eliza tunawamega then tunawalipa? Si heri tumege afu tulipwe familia zetu zifaidike na mapigo yetu? Sikukatishi tamaa luv.
chris jamani unakatisha tamaa, nwy ngoja tu ninyamaze mana tukianza kulumbana hapa tutakesha.
Ni jana tu kanisimulia alianza kwa kumpa safari za kila mara, akamuongezea bonus zake, short cause kwake hazikauki dada akawa haelewi kuna nini. Mwisho wa yote akamtamkia live na akamwambia anampenda na wala acwe na haraka yakujibu aende akafikiri akiwa tayari atamuambia jana akanunuliwa gari na amekabidhiwa ufunguo na kadi yake, dada yangu ameolewa na ana familia nzuri ya watoto 2 na mume wake anafanya kazi ya kwaida tu ya kuajiliwa ktk kampuni binafsi, ila kwa muda mfupi maisha yamependeza. wana JF nisaidie nimshauri vp? huyu dada yangu? yuko njia panda ndoa anaipenda na anampenda mume wake ila boss anawawezesha
Mkuu, hiyo mbona project Kabisa?.......kitu kinaingiza feza si sawa na kuwa na bar tu. Na wamama hawa kama mambo iko njema home whawawezo hata kuhisi kitu. Gari ya maana, kwenye friza full mambuzi, mang'ombe, masato, mamdudu, site hapgombi.......weeee! Utajilia boss mpaka siku ya kiama.
hahaaaa kweli mlikuwa na sabau ya kutoka seminarini lol!!!
hivi hayo ni maneno ya komunyo ya kwanza au sehemu ya misa hiyo jamani Bigirita, uko wapi saa hizi??
Mkuu, hiyo mbona project Kabisa?.......kitu kinaingiza feza si sawa na kuwa na bar tu. Na wamama hawa kama mambo iko njema home whawawezo hata kuhisi kitu. Gari ya maana, kwenye friza full mambuzi, mang'ombe, masato, mamdudu, site hapgombi.......weeee! Utajilia boss mpaka siku ya kiama.
Mshiki mshiki.....unataka kujua nilipo? Haya mi nipo samaki samaki. Njo upate castle lite bardiiii!
Najua xpin hapo atatokwa na udenda. Mi wend ilianza Jana.
Ni jana tu kanisimulia alianza kwa kumpa safari za kila mara, akamuongezea bonus zake, short cause kwake hazikauki dada akawa haelewi kuna nini. Mwisho wa yote akamtamkia live na akamwambia anampenda na wala acwe na haraka yakujibu aende akafikiri akiwa tayari atamuambia jana akanunuliwa gari na amekabidhiwa ufunguo na kadi yake, dada yangu ameolewa na ana familia nzuri ya watoto 2 na mume wake anafanya kazi ya kwaida tu ya kuajiliwa ktk kampuni binafsi, ila kwa muda mfupi maisha yamependeza. wana JF nisaidie nimshauri vp? huyu dada yangu? yuko njia panda ndoa anaipenda na anampenda mume wake ila boss anawawezesha
ha ha ha hommie oppotunities kama hizi kuziachia ni kazi sana!!Manake waifu home anaona vitu vinaingia kwa wingi, mabadiliko ya kufa mtu ye anajua hardworking husband wake amekuwa promoted na kamshahara na marupurupu yameongezeka.... Yaaa, promoted indeed kunako sita kwa sita!!!!!!
Mshiki mshiki.....unataka kujua nilipo? Haya mi nipo samaki samaki. Njo upate castle lite bardiiii!
Najua xpin hapo atatokwa na udenda. Mi wend ilianza Jana.
Ni jana tu kanisimulia alianza kwa kumpa safari za kila mara, akamuongezea bonus zake, short cause kwake hazikauki dada akawa haelewi kuna nini. Mwisho wa yote akamtamkia live na akamwambia anampenda na wala acwe na haraka yakujibu aende akafikiri akiwa tayari atamuambia jana akanunuliwa gari na amekabidhiwa ufunguo na kadi yake, dada yangu ameolewa na ana familia nzuri ya watoto 2 na mume wake anafanya kazi ya kwaida tu ya kuajiliwa ktk kampuni binafsi, ila kwa muda mfupi maisha yamependeza. wana JF nisaidie nimshauri vp? huyu dada yangu? yuko njia panda ndoa anaipenda na anampenda mume wake ila boss anawawezesha
Huyo dada inaonekana kama analegalega ktk idara ya maadili. Kama angekuwa na maadili yaliyo imara basi huyo bosi angepata a resounding hell to the no! Lakini kama ndoa anaipenda na anampenda mume wake ila eti bosi anawawezesha...what kind of chickenshit is that?
Hafai kuwa mke wa mtu huyo maana inaelekea anahusudu material things kiasi cha kuwa njia panda kati ya bosi anaye provide hivyo vitu na mumewe aliyekula kiapo cha kumpenda ktk raha na shida.
Mke anayempenda mumewe kwa dhati hawezi hata kidogo ku entertain advances za wanaume wengine. Na ni hivyo hivyo kwa mwanamume anayempenda mkewe kwa dhati.
yeomiii!!! mke kitega uchumi!!
Kwani hawa waume zao hawawezi kuwanunulia yaho magari??
Kweli hizi ni siku za mwisho