Dada yetu anaishi na Virusi vya UKIMWI, tumwambie ukweli mchumba wake?

Kisheria hakuna ndoa inayofungwa bila vipimo vya daktari so itajulikana na km wataamua kuoana pia inawezekana.
si kweli; ndoa nyingi tu zinafungwa bila vipimo. inategemea ni kanisa gani, ila makanisa menge hakuna hii condition.
 

kwa hiyo kama kuwa na ukimwi hakumaanishi kufa leo au kesho ndo sababu ya maana ya kumfanya mtu anyamaze jamaa akaupewe tu kwa kuwa hatakufa leo au kesho??? athari za vvu unaziona kwenye kifo tu huzioni kwenye sex ambayo ndo kiungo cha ndoa, wala kwenye uzazi ambao ndo lengo la ndoa, wala kwenye gharama na muda wa matibabu. Jamaa aambiwe tu. haya mambo unayoyasema hapa hata huyo bwana arusi mtarajiwa anayajua kwa hiyo ataamua mwenyewe.

ukivunja sheria kwa nia ya kuokoa maisha hauhukumiwi. uhai wa mtu una thamani. unasema dada mtu aendelee kushawishiwa amwambie mchumba mwenyewe, na akikataa kaka mtu ajitoe kwenye mchakato!! akijitoa kwenye mchakato itafuta akilini mwake kuwa alikuwa anajua ila akanyamaza kwa kuwa haolewi yeye? kama muoaji atamuona shemeji yake kuwa ni muongo na fisadi kuna shida gani? zitakuwa ndo gharama zake za kusema ukweli. hatakuwa amepoteza kitu zaidi ya guilty aliyo nayo sahivi.
 
kama ww ni mwanaume halisi na una roho ya kibinadamu, una maumivu ya kweli fanya lolote ni bora kuwa mkweli na uchukiwe na watu woteeeeeeee,
plz ukoa nafsi ya shemu wako damu yake itakulilia kama ndugu wengine wamesusa ww sema. na mungu abariki tuu. na nina imani kama ni walokole wa kweli naiman hawaja nanihiana nyeti zao.
kazana wala usiogope jiwekee hazina kwa mungu. i wish u the best
 
Hayo yao wenyewe hayakuhusu yaache kama yalivo.

na ww mgonjwa una roho mabay eti hayakuhusu. just take example kama nyumba yao imeungua na yeye yuko karibu hataruhisiwa kwenda kuokoa????? WATU WENGINE SJUI WAKOJE cjui ata una principle gan labda za kunya tyuu.
 
ndugu yangu nimesoma kwa masikitiko sana hii habari yako nachokuomba ni bora uende kumwambia hilo suala kwani akijakugundua wakati amefunga ndoa na huyo ndada yako atawachukia mara 7 kwani ni afadhali uiponye afya ya shemeji yenu mtarajiwa mapema kabla ya majanga kuwepo kuliko kunyamaaza na kuendelea kula hela zake huku mkishekisheki kiaina sio vyema ni bora ajuue mapema labda eyeye mwenyewe ndo akubaliane na hali hiyo huku mkiwa tayari mmeshawmwambia juu ya jambo hilo



 
yaan hii story imefanya nimuwaze sana demu wangu ambaye ni shemeji yenu

venye alivyonona na kavu nyingi full kuzama mpaka chumvini Daaaaaamn!!
 
hii nchi ndio maana haina maendeleo halafu tunasema tunataka mabadiliko. yatoke wapi ikiwa mtu badala ya kufikiria mambo ya maendeleo au yanayomhusu yeye na yenye kumletelea maendeleo yeye na familia yake kama anayo, yuko busy kupasua kichwa jinsi ya kusambaratisha mahusiano ya watu... aisee... nimechoka kabisa... Haya namtakia kila la heri Baraka tele Navin-Govind katika harakati zake za kuvunja mahusiano ya dada yake ili amuokoe seheje. Asiache kutuletea mrejesho reaction ya dada yake na shemeji yake. maana nahisi dada yake atakua adui yake hadi anaingia kaburini (damu yake) na huyu wa kuja (shemeji) atakua best yake milele maana umemuokoa asife, vile na yeye hutakufa kwa kua hana ukimwi.
 
Bro..kama huyo dada tayari anatumia ARV uwezekano wa kumwambukiza huyo broo ni mdogo mno...ARV hushusha viral load kiasi ambacho kidaktari tunaita undetectable..katika level hiyo wanaweza kuoana wakazaa watoto na kuwalea na jamaa akabaki kuwa negative tu
 

this is very wise
 

mmhhh...da asia
 
Kama habari hii ni ya kweli basi hata mimi napendekeza huyo mwanaume aambiwe ukweli na ikibidi wakacheck afya zao pamoja.
Lakini pamoja na hayo yote niseme tu Watanzania tulio wengi hatuna ufahamu wa tatizo hili la HIV...kuna watu hawajui tofauti ya ukimwi na HIV. Niseme tu kuwa namshukuru sana mwenyezi Mungu nimeweza kulielewa tatizo hili au ugonjwa huu kutokana na kuwa jirani na watu walio kwenye tatizo hili(siiti ugonjwa maana na mimi nitakuwa kama mlivyo baadhi yenu bali naliita ni tatizo la kawaida tu kama ilivyo malalia au maradhi mengine) kiukweli watanzania asilimia 95 hatuna uelewa na swala hili...tumejazwa hofu na hisia mbaya tu. Ukweli ni kwamba unaweza ishi na VVU kwa mda mrefu sana tena ukiwa kwenye afya njema kabisa iwapo CD4 zako hazipo chini ya 500 au 400 bira kutumia ARV na ukaishi bila hofu yeyote.

Na ikiwa CD4 zako ziko chini ya 400 basi unaweza kuanza kutumia dawa za ARV ambazo zitaendana na mfumo wa mwili wako na ukaishi maisha marefu na yenye furaha ila hakikisha unakula chakula bora,kunywa maji safi na salama na uwe unafanya mazoezi hata mara 3 kwa wiki. Lakini watanzania tuliowengi ni rahisi tuwapo hospital na doctor akakuambia una Cancer au Kisukari ukatoka hapo huku unafurahi lakini ukiambiwa unamaambukizi ya VVU au HIV basi unaanza kulia na kuona hii Dunia siyo yako tena...lakini ungeambiwa una cancer au kisukari basi ungeona hii dunia bado ni ya kwako na hauwezi kufa.
Sisemi kama HIV siyo tatizo ila nasema HIV siyo tatizo kubwa kama ambavyo Wabongo tunavyolichukulia ki hisia za kufirikika. Miaka 20 iliyopita HIV ilikuwa ni kweli hukumu ya Kifo...ila sasa baada ya elimu nyingi na hizi dawa za kila aina sasa HIV siyo hukumu ya kifo tena.

Hebu tujiulize maswali haya: mbona siku hizi yale mabango makubwa makubwa barabarani yahusio HIV au matangazo ya salama condom kwenye mativii na radio mbona hatuyasikii tena?. Ila tuwe makini ni kweli HIV ipo na inaambukiza...ila tusiione HIV kama ni hukumu ya kifo kama miaka 20 iliyopita! Noo!!
 
hata ukimwambia itakua ni kazi bure maana jamaa atakua keshamvua chupi huyo mgonjwa siku nyingi sana.

teh teh t:msela:
Wenzio ni walokole bhaaaanaaaaa hawafanyagi huo mchezo b4 ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…