Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Fanya maamuzi magumu,umuokoe huyo jamaa hata km dada yako atakuchukia lkn elewa kuwa mbele ya Mungu upo sahihi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hicho. UKIMWI hauwezi kuwa wa kawaida. Mapokeo yanatofautina. Mimi naweza kufa siku hiyo hiyoWaachie wenyewe
Ukimwi sikuhizi wakawaida sna
MmmhHabari zenu wana Jf,
Nina mdogo wangu wa kike baba mmoja ila mama ndio tofauti, mzee alikua na wake wawili. Huyu binti alikuwa akifanya biashara za kusafiri kwenda Kampala na Nairobi kwa miaka mingi, ni mdogo wangu wa nne kuzaliwa, tupo tisa kwa hao mama wawili, ila mama zetu hawapo duniani, mzee ndio bado yupo katika hizi safari za kibiashara bahati mbaya akapata ugonjwa huu wa kisasa, aliugua sana hapo katikati, nadhani ilikua 2006-2009.
Baadae akapona akainuka kabisa kutoka kitandani lakini akaambiwa asiache dawa za kurefusha maisha, tukamzuia kuendelea na hizo business za kusafiri, akaokoka na bado anaabudu hadi sasa, amenona hasa, amekuwa kipande cha mtu. Simzungumzi vibaya Dada yangu, ila kwa kweli amekuwa na wowowo lenye kumvutia mwanaume yeyote yule.
Nadhani ni katika muonekano huo ndipo akajitokeza mlokole mwenzie huko kanisani kwao kutaka kumuoa, huyo jamaa kachanganyikiwa na yuko resi mno, ameshaniletea barua nami nikaipokea pamoja na wenzangu, baadae tukamtajia mshenga wake mahari nayo akalipa na tulishaila, tuligawana makaka, nae binti tukampa kidogo.
Sisi hatujaanza utaratibu wa vikao ila wao upande wa jamaa walikaa vikao viwili tayari, wakati wote huu mimi nilidhani dada alishamweleza status yake huyu mchumba, na pengine nikadhani wote wana status hiyo hiyo ya HIV positive wameamua ku team up kuunda familia, kumbe sivyo huyu jamaa hajui chochote kuhusu hali ya huyu dada yangu.
Kuna dada yetu mkubwa aliyempeleka kanisani huyu binti na wanasali pamoja, juzi alimuuliza muolewaji kama amemwambia mchumba hali yake, akajibu hajamwambia, anaogopa akimwambia atakosa ndoa, na yeye anahitaji kuwa na familia yake kama mwanamke, na kwamba yeye mwenyewe aachiwe jambo hilo atalimaliza mwenyewe, na kwamba tusimwambie mchumba chochote.
Roho yangu inanisuta sana kushiriki jambo hili, hasa ukichukulia kuwa nyumba na mji wangu ndio unaochukuliwa kama nyumbani kwao na bibi harusi, na tupo karibu sana kimawasiliano na huyo jamaa. Mfano ni juzi tu kanitumia laki mbili akisema ni ya chai.
Pia ni msomi mwenye carrier yake na future inayoeleweka, hivyo nafsi inanisuta, wenzangu wanadai afya za maharusi sio kazi yetu, kwamba sie kazi yetu ni kusherekea tu, kwamba ni miaka sasa hatujawa na harusi tunachangia watu tu.
Wadau, nahitaji msaada wa mawazo
Au na mimi nipotezee tu watajuana wenyewe?
Tena usipoteze muda jamaa yangu,kamwambie leo hii. Kama unaogopa mwambie mtu mwingine mpigieni hata simu kwa kutumia simu ya mtu mwingine. Jiulize je ingekuwa ni wewe? Usipomwambia utakuwa umeshiriki moja kwa moja kuchinja mtu. Tena wewe ndio zambi yako itakuwa juu ya wengine wote,ksbb una uelewa tofauti na hao. Ukimwambia thawabu yako ipo
Usishiriki kwenye hiyo murder case, lazima mhusika aambiwe hiyo issue au jifanye kuwa lazima vipimo vipatikane ndo muibariki hiyo ndoa. Hapo dadaaa hatakuwa na ujanja. Lakini sishauri nyote mkae kimya imagine wewe ndo unafanyiwa hiyo kitu
Ikija chai nyengine ikatae maana mnazidi kumpa matumaini kijana wa watu.
hata ukimwambia itakua ni kazi bure maana jamaa atakua keshamvua chupi huyo mgonjwa siku nyingi sana.
Ukisema ni vizuri ila huyo dada hamtaelewana tena.
Halafu huyo muoaji kama yuko huku atakuwa ameshajijua
Weweeee....! Usidanganye watu. Usifanye mtu aambukizwe kienyeji hivi. Mimi tu najijua nikiupata leo,kesho tu naweza nikafa. Kuna wengine nyie ni never mind,lakini wengi ni waoga kama mimiWaachie wenyewe
Ukimwi sikuhizi wakawaida sna
Fikisha taarifa kwa mchungaji wao, iwe ni taarifa ya siri, na mchungaji atambue niaa njema uliyonayo, ili kwa utaratibu sahihi taarifa imfikie shemeji yako matarajiwa kwa njia nzuri na isiyo na emotional damge.Nadhani ni katika muonekano huo ndipo akajitokeza mlokole mwenzie huko kanisani kwao kutaka kumuoa, huyo jamaa kachanganyikiwa na yuko resi mno, ameshaniletea barua nami nikaipokea pamoja na wenzangu, baadae tukamtajia mshenga wake mahari nayo akalipa na tulishaila, tuligawana makaka, nae binti tukampa kidogo.
Sheria ya wapi hii😂Kisheria hakuna ndoa inayofungwa bila vipimo vya daktari so itajulikana na km wataamua kuoana pia inawezekana.
We jamaa umekuwa mfufua nyuzi za zamani😂Mmmh
Hayo maswala ya magonjwa na mahusiano ni very private, na kitaalam mtu anayetumia dawa vizuri hawezi kuambukiza inategemea na viral load, mtu mwenye virusi ana haki na uwezo wa kuingia kwenye mahusiano kama mtu mwingine, na akazaa mtoto negative na asimuambukize mtu mwenzaHabari zenu wana Jf,
Nina mdogo wangu wa kike baba mmoja ila mama ndio tofauti, mzee alikua na wake wawili. Huyu binti alikuwa akifanya biashara za kusafiri kwenda Kampala na Nairobi kwa miaka mingi, ni mdogo wangu wa nne kuzaliwa, tupo tisa kwa hao mama wawili, ila mama zetu hawapo duniani, mzee ndio bado yupo katika hizi safari za kibiashara bahati mbaya akapata ugonjwa huu wa kisasa, aliugua sana hapo katikati, nadhani ilikua 2006-2009.
Baadae akapona akainuka kabisa kutoka kitandani lakini akaambiwa asiache dawa za kurefusha maisha, tukamzuia kuendelea na hizo business za kusafiri, akaokoka na bado anaabudu hadi sasa, amenona hasa, amekuwa kipande cha mtu. Simzungumzi vibaya Dada yangu, ila kwa kweli amekuwa na wowowo lenye kumvutia mwanaume yeyote yule.
Nadhani ni katika muonekano huo ndipo akajitokeza mlokole mwenzie huko kanisani kwao kutaka kumuoa, huyo jamaa kachanganyikiwa na yuko resi mno, ameshaniletea barua nami nikaipokea pamoja na wenzangu, baadae tukamtajia mshenga wake mahari nayo akalipa na tulishaila, tuligawana makaka, nae binti tukampa kidogo.
Sisi hatujaanza utaratibu wa vikao ila wao upande wa jamaa walikaa vikao viwili tayari, wakati wote huu mimi nilidhani dada alishamweleza status yake huyu mchumba, na pengine nikadhani wote wana status hiyo hiyo ya HIV positive wameamua ku team up kuunda familia, kumbe sivyo huyu jamaa hajui chochote kuhusu hali ya huyu dada yangu.
Kuna dada yetu mkubwa aliyempeleka kanisani huyu binti na wanasali pamoja, juzi alimuuliza muolewaji kama amemwambia mchumba hali yake, akajibu hajamwambia, anaogopa akimwambia atakosa ndoa, na yeye anahitaji kuwa na familia yake kama mwanamke, na kwamba yeye mwenyewe aachiwe jambo hilo atalimaliza mwenyewe, na kwamba tusimwambie mchumba chochote.
Roho yangu inanisuta sana kushiriki jambo hili, hasa ukichukulia kuwa nyumba na mji wangu ndio unaochukuliwa kama nyumbani kwao na bibi harusi, na tupo karibu sana kimawasiliano na huyo jamaa. Mfano ni juzi tu kanitumia laki mbili akisema ni ya chai.
Pia ni msomi mwenye carrier yake na future inayoeleweka, hivyo nafsi inanisuta, wenzangu wanadai afya za maharusi sio kazi yetu, kwamba sie kazi yetu ni kusherekea tu, kwamba ni miaka sasa hatujawa na harusi tunachangia watu tu.
Wadau, nahitaji msaada wa mawazo
Au na mimi nipotezee tu watajuana wenyewe?
Leo ni 2024 tupe mrejeshoHabari zenu wana Jf,
Nina mdogo wangu wa kike baba mmoja ila mama ndio tofauti, mzee alikua na wake wawili. Huyu binti alikuwa akifanya biashara za kusafiri kwenda Kampala na Nairobi kwa miaka mingi, ni mdogo wangu wa nne kuzaliwa, tupo tisa kwa hao mama wawili, ila mama zetu hawapo duniani, mzee ndio bado yupo katika hizi safari za kibiashara bahati mbaya akapata ugonjwa huu wa kisasa, aliugua sana hapo katikati, nadhani ilikua 2006-2009.
Baadae akapona akainuka kabisa kutoka kitandani lakini akaambiwa asiache dawa za kurefusha maisha, tukamzuia kuendelea na hizo business za kusafiri, akaokoka na bado anaabudu hadi sasa, amenona hasa, amekuwa kipande cha mtu. Simzungumzi vibaya Dada yangu, ila kwa kweli amekuwa na wowowo lenye kumvutia mwanaume yeyote yule.
Nadhani ni katika muonekano huo ndipo akajitokeza mlokole mwenzie huko kanisani kwao kutaka kumuoa, huyo jamaa kachanganyikiwa na yuko resi mno, ameshaniletea barua nami nikaipokea pamoja na wenzangu, baadae tukamtajia mshenga wake mahari nayo akalipa na tulishaila, tuligawana makaka, nae binti tukampa kidogo.
Sisi hatujaanza utaratibu wa vikao ila wao upande wa jamaa walikaa vikao viwili tayari, wakati wote huu mimi nilidhani dada alishamweleza status yake huyu mchumba, na pengine nikadhani wote wana status hiyo hiyo ya HIV positive wameamua ku team up kuunda familia, kumbe sivyo huyu jamaa hajui chochote kuhusu hali ya huyu dada yangu.
Kuna dada yetu mkubwa aliyempeleka kanisani huyu binti na wanasali pamoja, juzi alimuuliza muolewaji kama amemwambia mchumba hali yake, akajibu hajamwambia, anaogopa akimwambia atakosa ndoa, na yeye anahitaji kuwa na familia yake kama mwanamke, na kwamba yeye mwenyewe aachiwe jambo hilo atalimaliza mwenyewe, na kwamba tusimwambie mchumba chochote.
Roho yangu inanisuta sana kushiriki jambo hili, hasa ukichukulia kuwa nyumba na mji wangu ndio unaochukuliwa kama nyumbani kwao na bibi harusi, na tupo karibu sana kimawasiliano na huyo jamaa. Mfano ni juzi tu kanitumia laki mbili akisema ni ya chai.
Pia ni msomi mwenye carrier yake na future inayoeleweka, hivyo nafsi inanisuta, wenzangu wanadai afya za maharusi sio kazi yetu, kwamba sie kazi yetu ni kusherekea tu, kwamba ni miaka sasa hatujawa na harusi tunachangia watu tu.
Wadau, nahitaji msaada wa mawazo
Au na mimi nipotezee tu watajuana wenyewe?