Dada yetu Sylvia Mulinge alikwepa mtiti kwa kuzuiwa kuwa mkurugenzi Voda Tanzania

Dada yetu Sylvia Mulinge alikwepa mtiti kwa kuzuiwa kuwa mkurugenzi Voda Tanzania

Blah blah blah.....

Maana wewe ni keyboard realist?Ungeficha ID yako kama mimi keyboard warrior?

Tuache hoja ya authenticity here,jana nilikua na Zitto tuna demonstrate,siwezi prove zaidi maana sitaki kuweka my identity wazi....

Nothing I can do more to prove to you!

Kama jinsi wewe huwezi prove anything to me as huwezi open up your identity just like me here!

Lete hoja za hapa hapa!

Duh ila mna kazi sio haba, hebu isklize hii video

 
Sio lazima iwe half a million. vijana elfu moja jasiri wakitokea barabarani kuandamana kwa sababu ya wizi wa kura halafu polisi waue 100 basi hio imetosha JPM kuona moto faya kutoka kwa wazungu. Atakimbizwa hadi aseme po! Lakini mkijifungia majumbani hata USA wanashindwa watawasaidia vipi?
Dah mkuu umesema kweli watu wakijifungia utasaidiwaje
 
Mbona huyu mama lishe has nothing to do with our uchaguzi.
😛😛😛
I don't see any correlation in here.
Kiukweli comments kama hizi ndio zinaboa sana. Hivi kwa nini usijikite kwenye mada au kutoa jibu bila kuattack personality ya mtu?
It's undignified and uncalled for.
 
Mtapigwa sanctions kama Sudan ndio mfyate midomo zenu kubwa. Mtashindwa hata kuomba loan ya miradi yenu. Wakati bei ya mkate na unga utaanza kupanda kama ulivyofanyika Sudan ndio mtajua athari ya sanctions. Kwa sasa mjipige tu kifua. Ulizeni Zimbabwe sanctions zina athari gani.

Thank you for speaking out!
 
You fool Kenyans naomba niwaelimishe ni kweli magufuli kashinda Kwa haki Kwa sababu CCM imejengwa kuanzia ngazi ya chini mpaka juu.kwa hiyo inawapiga Kura wengi. Hao Lina chadema hawajajenga hata ofisi Za maana Za Chama acha kujenga vyama vyao kuanzia chini Kwa hiyo Hawana nguvu ya kuiondoa CCM.Na Tz ni USA ya Afrika
 
Back
Top Bottom