Dada zangu jitazameni upya, thamani yenu ni kubwa

Mimi nisiwe mnafiki , na enjoy sanaaa nikiona mrembo kajaliwa kapiga dress tight ya mpira, au mini skirt fulani au skin jeans! Yaani naburudika sana endeleeni kutubariki keep flaunting what God gave u..
 
Well said... But kila kukicha mnasema wadada wa watu tu nyie wakaka mbna hamjisem whil mna mapungufu meng.... Mtuwacheeee
 
Wemimiaid... But kila kukicha mnasema wadada wa watu tu nyie wakaka mbna hamjisem whil mna mapungufu meng.... Mtuwacheeee
Thamani yenu ni kubwa kwenye jamii, pasipokuwepo mimi bila uwepo wenu. Itunzeni thamani yenu
 
Thanks again ibra87

Pumzika kwa amani swahiba.
 
Thamani yenu ni kubwa kwenye jamii, pasipokuwepo mimi bila uwepo wenu. Itunzeni thamani yenu
Umeondoka ukiwaachia mama na dada zetu nasaha thabiti.

Pumzika kwa Amani Ibra87
 
Nimejikuta nawaza nitaacha kitu gani kwenye kurasa zangu au post zangu kwenye mitandao ya kijamii nitakapokufa. Facebook page yangu itakuwa na post gani? Instagram, Twitter na mitandao mingine!! Michango yangu na threads zangu humu JF zitakuwaje?


Je sitatamani kumuomba malaika dakika chache za angalau kuedit baadhi ya vitu? Maana nadhani kila kitu kitabakia kama kilivyo, ikiwa ni aibu ndugu au watoto wangu watalazimika kukabiliana nayo; na kama ni mambo ya hekima basi watafurahi na kujifunza.

Ingewezekana kungekuwa na button mtu unabonyeza unapokufa inazima profile zako zote kwenye social network!!

Just thinking and typing!!
 
Rip
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…