Dada zangu mtuliege

Hahaha, inabidi nitume walau ya supu kesho uamkie restaurant. Nongwq zimezidi๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Ewaaaah! Fanya hivyo basi babe๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Kama tunavyopangwa kwenye mabaa! Na kila mmoja anakula kwa usefu wa kamba yake na kujiona mmiliki na mshindi!
 
Hii hadithi yako haina muunganiko,kamuombe aliyekusimulia arudie tena na uwe makini kumsikiliza, sawa sawa?
 
Mwanamke ndiye anayemhitaji zaidi mwanaume, wewe leo hauna ubavu wa kumuacha mumeo

Mwanaume ndiye gatekeeper wa mahusiano mwanamke ni gatekeeper wa ngono
Hajanipa sababu ya kumuacha, ila akinipa namuacha asubuhi tu, kunae mmoja alijiona mgumu km wewe lkn mwishowe aliishia kulia machozi na kamasi hadharani, haya mambo ni timing tu haijalishi gatekeeper au ngonokeeper
 
Hajanipa sababu ya kumuacha, ila akinipa namuacha asubuhi tu, kunae mmoja alijiona mgumu km wewe lkn mwishowe aliishia kulia machozi na kamasi hadharani, haya mambo ni timing tu haijalishi gatekeeper au ngonokeeper
Kuna mifano mingi ya wanawake ambao wameshindwa licha ya kujua waume zao wanawacheat lakini hawana ule ujasiri wa kuachana nao. Ila wanaume kamili huwa hawasamehi wakisikia wake zao wasaliti. Huyo uliyemtoa kamasi ni simp
 
Mwaisa wanaume mnachamba siku hizi,mabinti cha mtoto khaaa
 
Wakati yote hayo yanafanyika wewe ulikua umejibanza wapi kuyafuatilia?swali la mwisho
Hiyo ofisi yenu inajishughulisha na utoaji wa huduma gani?
 
 

Attachments

  • 20240102_223930.jpg
    39.7 KB · Views: 3
Hii ni story kama zilivyo story zingine, ila kiuhalisia wadada wanazingua sio polepole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ