GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Najua Above 18 mtanielewa tu. Nimepata kuisikia kwa wanaume kadhaa kuwa
pale wanapokuwa na magari yao wanapoendesha kuelekea kileleni huwa
wanajenga fikra za kuendesha magari mengine. Yaani kimwili huwa anaendesha
gari alilonalo kwa wakati huo lakini kifikra huendesha gari lingine kabisa ambalo
mara nyingi hupenda kuliendesha lakini hana uwezo wa kulinunua au vinginevyo!
HUJAELEWA?
Yaani wakati ule wa Chakula cha usiku basi wanaume wao badala ya kuwazia kile
chakula anachokula huwa anawazia chakula kingine ambacho kimepikwa huko nje.
Vipi dada zangu, unaweza kupakiwa kwenye gari na dereva mwingine lakini
Imagination yako ikakupelekea kuona unaendeshwa na dereva ambaye sio
yule aliyeshika usukani?
KWA NINI?
pale wanapokuwa na magari yao wanapoendesha kuelekea kileleni huwa
wanajenga fikra za kuendesha magari mengine. Yaani kimwili huwa anaendesha
gari alilonalo kwa wakati huo lakini kifikra huendesha gari lingine kabisa ambalo
mara nyingi hupenda kuliendesha lakini hana uwezo wa kulinunua au vinginevyo!
HUJAELEWA?
Yaani wakati ule wa Chakula cha usiku basi wanaume wao badala ya kuwazia kile
chakula anachokula huwa anawazia chakula kingine ambacho kimepikwa huko nje.
Vipi dada zangu, unaweza kupakiwa kwenye gari na dereva mwingine lakini
Imagination yako ikakupelekea kuona unaendeshwa na dereva ambaye sio
yule aliyeshika usukani?
KWA NINI?