MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,856
Unalalamika nini sasa kumbe .......its mutual benefitMimi sijamwambia na mwacha coz she is a gud accessory ukienda nae out! LOL.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalalamika nini sasa kumbe .......its mutual benefitMimi sijamwambia na mwacha coz she is a gud accessory ukienda nae out! LOL.
Hehehe. Ninako ka gold digger kamoja ni hatari sana! Mtoto cute kapitiliza. Nyumbani kwao fresh sana. Actually katoka kununuliwa gari ya maana tu a few days ago. Ili cost kama 18 mil hivi.
Mimi kuangalia back ground ya mtoto nikajua hapa panaweza kuwa patulivu!!
Aisee how wrong I was! Hadi siamini!!
Vimzinga vya chini ya laki every after 2 days ni kawaida. Ila nilipigwa wa milion 7 nilicheka hadi machozi.
Nikamwambia kua mizinga yake inanipunguza sana mapenzi kwake becuase siamini hata hela ya vocha hana. Haijasaidia. The most confusing thing is, nimesitisha kumpa ila bado tunachat, hajasema ananiacha japokua uwezo huo anao sana!
Mimi sijamwambia na mwacha coz she is a gud accessory ukienda nae out! LOL.
ha ha,nipo Mang'ola..inaelekea umepigwa kibomu cha mana, poyeee sana!! umeingia mjini lini aisee? na mbona unalalamika hivyo? ulihonga 1bn? UNALO wewe ulieko MJINI, utachunwa mpaka mokasi🙂)
sent from my RedBerry 3900 using LindiForums
Hiyo inaitwa Proforma Invoice (Ankara kifani), dhamira yake ni kukufahamisha kuwa mkataba utakuwepo kwa gharama hizo. Ni hiari yako kukubali au kukataa. Ukikubali utapewa Invoice tayari kwa malipo. Huna sababu ya kulalamika, unataka subiri invoice hutaki basi timua. Vizuri gharama, watu tunahonga nyumba itakuwa hizo pesa mbuzi.
Kaka hao mimi ndo nawapendaga! Nikipata wa kueleweka NAJIANGUSHA NDANI YA 18 TU
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hiyo inaitwa Proforma Invoice (Ankara kifani), dhamira yake ni kukufahamisha kuwa mkataba utakuwepo kwa gharama hizo. Ni hiari yako kukubali au kukataa. Ukikubali utapewa Invoice tayari kwa malipo. Huna sababu ya kulalamika, unataka subiri invoice hutaki basi timua. Vizuri gharama, watu tunahonga nyumba itakuwa hizo pesa mbuzi.
Hiyo ndio test ya kujua kama what type of man you're, ukiwa mwanaume suruali utasepa. Mwanamke si mjinga eti
Hah! preta mkao wa kibuzi buzi upoje?sawa.........ila na nyie muache kukaa kibuzibuzi.........
Hahaha unafikiri kila m1 alikuja dar eenh! Wengine wamezaliwa hapahapa wewe.. Nmeleta hii thread kwa kuwa yanatokea sana mjini hapa. N DID I MENTION anythn like nmelipuliwa. Jipange ww!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hujapendwa ndo mana anakuchuna, trust me,mschana km kakupenda kwa dhati hawezi kukutoa pesa zako. poyeniii. Ila na nyie mmezidsha promo bwn acha mchunwe, et unakutana na m2 for the 1st day anaanza me nina CPA, 4 the time being nafanyia hapo TRA HQ bt nataka nifanye masters, ninaish mbez beach peke yng, this s my ride bt nw nko on process ya kuagiza nyingne, thn mkiagna unapigwa 40000 ya vocha. Asa km cyo kutaftiana dhambi hapo ni nn? acha m2miaji apate matumiz manake nahc zimemzidi
Ukitaka kula lazima ukubali kuliwa