father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 971
- 1,117
Hahha hahha wewe father xmass umefata nn kwa Shamimu jamn??? halafu sio wote tunajipaka hayo madude mie binafsi siyapendi kweli!!:becky::becky::becky:
insane = mad = foolish; or what else do you mean?Ukibeba huyo kaa mkao wa kupewa bili ya makorokoro yote hayo!
Insane!
Nimeipenda hii!mkuu picha hii umeichukuwaa kwa ridhaa yake..? JF isije ikawa kama kipindi cha zeutamu!.. kuibia picha toka hi5,fcbk.. unaleta ijadiliwe?.. nafkiri malezo yangetosha bila picha! i hope sio mtanzania huyu dada..
BTW YUPO BOMBA!
mkuu picha hii umeichukuwaa kwa ridhaa yake..? JF isije ikawa kama kipindi cha zeutamu!.. kuibia picha toka hi5,fcbk.. unaleta ijadiliwe?.. nafkiri malezo yangetosha bila picha! i hope sio mtanzania huyu dada..
BTW YUPO BOMBA!
Tembea uone, yaani huyo dada mbona kapendeza tu!!!!!!!!, hiyo ndiyo maana ya kuwa huru! Usipende kufuatilia mambo ya watu, kwani hata akiwa hivyo wewe inakuuma nini??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
hivi dada zangu msipojipaka hiyo "milupostick" huko midomoni mnadhani hatutawapenda............?
why painting urself like a clown...............?why..............?
au mpake zile lipshine za kungarisha tu lkn sio kujijaza mitakataka usoni utazani clown...............!
nawaoneaa huruma yaani unakuta demu kajipaka mirangi mingiiii utadhani mwenzie kamwambia "paka nyingi ukija unipunguzie"...............!
halafu unakuta kajipaka kama hivi halafu anakutizama kwa nyodo na mapozi huku anakukunjia mdomo kwa dharau aaah utachoka mwenyewe!
pakeni kwa kiasi...............!sawa eeeh..........!
hivi dada zangu msipojipaka hiyo "milupostick" huko midomoni mnadhani hatutawapenda............?
why painting urself like a clown...............?why..............?
au mpake zile lipshine za kungarisha tu lkn sio kujijaza mitakataka usoni utazani clown...............!
nawaoneaa huruma yaani unakuta demu kajipaka mirangi mingiiii utadhani mwenzie kamwambia "paka nyingi ukija unipunguzie"...............!
halafu unakuta kajipaka kama hivi halafu anakutizama kwa nyodo na mapozi huku anakukunjia mdomo kwa dharau aaah utachoka mwenyewe!
pakeni kwa kiasi...............!sawa eeeh..........!
Wenye wivu wajinyonge!
Mbona kapendeza sana, na ni mbunifu sana huyu binti.
Nywele hata kama ni bandia ni ok
Nyusi ndo usiseme na eye shades are good
Rangi ya ngozi usoni na shingoni na mkononi zinalingana
Mdomo lipstick pete na nguo na bangili zinalingana
Usanii unapendeza sana huo na pose yake imenimaliza!!
Ningekuwepo karibu ninge-propose kumuwowa!