Dada zetu mseme ukweli kuna mwanaume wa kukupa 50k zama hizi?

Duuh huu sasa ni utani na kodi zetu.

Yaani hayo mabanda ndio yatumie milioni250.8??

Hawa watu yafaa sasa wapigwe mawe hadharani kwa ubadhirifu wa pesa namna hii



Sent from my M2006C3LI using JamiiForums mobile app
 
Kuna wanaume wanatoa zaidi.. kendana na how much he makes ! Pia hakuna mwanaume bahili kwa mwanamke ampendae!
 
Hili suala linaendana na kipato cha mtu binafsi.

Elfu hamsini kwa mwingine si kitu, kwake yeye ni sawa na Shilingi Mia tano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…