Dada zetu mseme ukweli kuna mwanaume wa kukupa 50k zama hizi?

Dada zetu mseme ukweli kuna mwanaume wa kukupa 50k zama hizi?

Hii likizo nilihonga demu mkali 80k nikajua anajua mapenzi kumbe hamna kitu, nikahonga mwingine 50k nikajua anayajua kumbe naye gogo tu. Ningebahatisha anayejua ningebaki kwake ila hawa hapana nahisi upendo hawana maana ushirikiano sifuri. Nimetupa ndoano kwa mtoto wa Tanga huyu naamini anayajua. Kuhonga it depends ana umuhimu gani kwangu
Tanga ni overrated mzee utajua hujui [emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3] hivi wanaingilika kirahisi eeh mm na ujanja wangu wote najikuta nawagwaya [emoji3][emoji3]
Wasumbufu kwenye Ramadhani tu, ila napo kabla haijafika unawafaidi alafu ikiisha wanakuwa moto balaa. Sio wagumu compared na wale wa Jumamosi ambao hawayajui
 
Back
Top Bottom