Dada zetu mseme ukweli kuna mwanaume wa kukupa 50k zama hizi?

Tanga ni overrated mzee utajua hujui [emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3] hivi wanaingilika kirahisi eeh mm na ujanja wangu wote najikuta nawagwaya [emoji3][emoji3]
Wasumbufu kwenye Ramadhani tu, ila napo kabla haijafika unawafaidi alafu ikiisha wanakuwa moto balaa. Sio wagumu compared na wale wa Jumamosi ambao hawayajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…