Dada zetu 'sometimes' ni noma!

Dada zetu 'sometimes' ni noma!

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83
i1005_26286157675691963689691919732735808395n.jpg
 
Huyu bibie si wa kuolewa naye, hiki kibano ukikipata chumbani utatamani small hausi!!
 
Mwanamke hatari huyu, maana huyo polisi kapewa kabali si mchezo duh. Halafu, Mapolisi wengine badala ya kuamualia, wako kwa mbali wakisogeza watu, ili mkono uendelee, na wapiga picha wote wapo kazini.

Hapo mtu lazima alitoka nyongo.
 
Duh hao polisi wa ukweli haina kugombelezea then after ugomvi heshima itakuwepo!!!!!
 
Back
Top Bottom