Dada zetu wanaume weusi na warefu hawana mapenzi ya kweli

Bob vip...mbona umetusagia sana kunguni. Vip tumekupokonya manzi ama..?
 
Mzee kifimbo cheza katika ubora wako 😁😁😁😁
 
Mkuu wewe ni dem au? Sabab hichi kitu alitakiwa aandike mwanamke sabab atakuwa na experience both kudate na wafupi na warefu sasa ww hii experience umeitoa wapi? Au na ww ndo wale walio left group??
 
Kabisa mkuu huyu kaleft group unawezaje kuwa describe wanaume wenzako kias hiki kama haupelekewi moto ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…