Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hapa mpaka mwezi mtukufu, sijui valentine kama Ina chochoteNjaanuary hii mambo magumu unaweza ukawa mteja wako mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mpaka mwezi mtukufu, sijui valentine kama Ina chochoteNjaanuary hii mambo magumu unaweza ukawa mteja wako mwenyewe
Mkuu hapa naona kuna berish na bullish . Vipi na wewe ni muumini wa hizi hela za makonyezo makonyezo kama mimi kwenye downward and upward trend?Yupo online mda mwingi.....team Ontario huyo[emoji23][emoji409][emoji410]
Kwanini umeamua kukurupuka mkuu, wapi nilipo mkosoa Mungu?Mkuu unaumwa ww.Kama ww ni mfupi na kibonge na huli pussy huyo ni wewe.Mimi ni kipipa since birth sio mbilikimo ila ni mfupi but nakula pisi since wayback.Hata pisi zile ndefu kama twiga nlikuwa natumia ngazi.Acha kumkosoa Mungu wetu katuumba parfect.
Wakorofi sana nyie 🤣Kwa hiyo sie wafupi, wanene, weusi tumefikiwa eenh!!
Tumejaaliwa vingine😅, msitudharau sanaWakorofi sana nyie 🤣
Valentine ina wenyewe hapa mpaka ramadanHapa mpaka mwezi mtukufu, sijui valentine kama Ina chochote
I have some idea 😂ila sifanyi...Kuna jamaang tulikua tunatoka chuo tupo ferry ananionesha float anasema $800 tunafika machava ananiomba ten ananipanga sijui jobless wa marekani wamefanyajeMkuu hapa naona kuna berish na bullish . Vipi na wewe ni muumini wa hizi hela za makonyezo makonyezo kama mimi kwenye downward and upward trend?
😂😂Mmejaliwa utundu au sio?Tumejaaliwa vingine😅, msitudharau sana
Tutafika tu tuendakoValentine ina wenyewe hapa mpaka ramadan
Huyo jamaa atajua anacheza na market event huyo alitaka kukutumia kama fursa. Ile kitu jifunze mwenyewe mkuu ndiyo utaiweza ila usiwe na tamaa na mkwanja mrefu utaunguza a/cI have some idea [emoji23]ila sifanyi...Kuna jamaang tulikua tunatoka chuo tupo ferry ananionesha float anasema $800 tunafika machava ananiomba ten ananipanga sijui jobless wa marekani wamefanyaje
Huko apana aiseee bora ntafute hela zangu mtaani nitoe fungu la kumi siku zisongeHuyo jamaa atajua anacheza na market event huyo alitaka kukutumia kama fursa. Ile kitu jifunze mwenyewe mkuu ndiyo utaiweza ila usiwe na tamaa na mkwanja mrefu utaunguza a/c
🤐🤐🤪😂😂Mmejaliwa utundu au sio?
Pigeni vigelegele vya shangwe🏃🏃🏃🏃
Hajauliza unachojua, kauliza hivi ushawahi kuwa naye mweusi mrefu ?Naelezea kitu ninachokijua mkuu. Kuhusu kimo na rangi yangu weka kapuni kabisa
😅😅😅😅😅🏃🏃Pigeni vigelegele vya shangwe🏃🏃🏃🏃