Dada zetu wanaume weusi na warefu hawana mapenzi ya kweli

Dada zetu wanaume weusi na warefu hawana mapenzi ya kweli

Mkuu unaumwa ww.Kama ww ni mfupi na kibonge na huli pussy huyo ni wewe.Mimi ni kipipa since birth sio mbilikimo ila ni mfupi but nakula pisi since wayback.Hata pisi zile ndefu kama twiga nlikuwa natumia ngazi.Acha kumkosoa Mungu wetu katuumba parfect.
 
Mkuu unaumwa ww.Kama ww ni mfupi na kibonge na huli pussy huyo ni wewe.Mimi ni kipipa since birth sio mbilikimo ila ni mfupi but nakula pisi since wayback.Hata pisi zile ndefu kama twiga nlikuwa natumia ngazi.Acha kumkosoa Mungu wetu katuumba parfect.
Kwanini umeamua kukurupuka mkuu, wapi nilipo mkosoa Mungu?
 
Mkuu hapa naona kuna berish na bullish . Vipi na wewe ni muumini wa hizi hela za makonyezo makonyezo kama mimi kwenye downward and upward trend?
I have some idea 😂ila sifanyi...Kuna jamaang tulikua tunatoka chuo tupo ferry ananionesha float anasema $800 tunafika machava ananiomba ten ananipanga sijui jobless wa marekani wamefanyaje
 
I have some idea [emoji23]ila sifanyi...Kuna jamaang tulikua tunatoka chuo tupo ferry ananionesha float anasema $800 tunafika machava ananiomba ten ananipanga sijui jobless wa marekani wamefanyaje
Huyo jamaa atajua anacheza na market event huyo alitaka kukutumia kama fursa. Ile kitu jifunze mwenyewe mkuu ndiyo utaiweza ila usiwe na tamaa na mkwanja mrefu utaunguza a/c
 
Umetumia njia gani kukusanya utafiti wako?hebu niulizee..wewe ni mwanamke?

Wanaume warefu weusi kwakweli mnanafasi yenu ya kipekee mbunguni
 
Back
Top Bottom