Dada zetu wanaume weusi na warefu hawana mapenzi ya kweli

Acha ujinga wanaume weusi warefu ni magettleman ndio maana tunapendwa sababu kuu ni mbili kwa kuwa ni weusi haturingi,,na kwakuwa ni warefu sio wabishi hizo ndizo sababu ya sisi kupendwa na Madada.
 
Mbona kama vile unatupondea mzee! Bila shaka wewe ni zakayo
 
Aisee...
 
Ulikutana na tapeli kaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…